lyaguchunya
Member
- Aug 18, 2020
- 56
- 406
Habari za jioni wakuu,
Nimenunua simu kwa MTU kwa bahati mbaya nmejaribu kuaccess internet imegoma kabisa vile vimishale vya internet vinaonekana lakin akuna kitu simu ni Nokia G10.
Naombeni maaada wenu..
Nimenunua simu kwa MTU kwa bahati mbaya nmejaribu kuaccess internet imegoma kabisa vile vimishale vya internet vinaonekana lakin akuna kitu simu ni Nokia G10.
Naombeni maaada wenu..