Salamu za nini .... watu mlio kuwa mnatumishwa salamu hadi chooni mashuleni mna shida sana ....utasalimia watu wangapi kwa siku ...salamu ziwe kwa nyakati na mambo muhimu tu
Mungu si mtu mungu ni NGUVU KUU ZENYE UFAHAMU ..wanasayansi wanazitambua kama MATHER NATURE ILA WANAKANA UFAHAMU WAO WANASEMA KUWA HIZO NGUVU HAZINA FAHAMU ILA NDIYO ZILIZO UMBA KILA KITU HADI AKILI IMEUMBWA NA IZO NGUVU PASIPO UFAHAMU . SWALI LA LOGIKI IKIWA KUNA NGUVU ZINAZO WEZA KUUMBA HADI...
Tuna ongelea source siyo matokeo ...sasac rudi nyuma kinyume nyume kwa kutumia hiyo hoja yako ya mama kuzaa ...je kabla ya huyo mwanamke kuwepo binadamu wa kwanza alizaliwa na nani?
Ndiyo maana nilikuambia kuwa tulikuwepo hata kabla ya kuumbwa tena tulikuwepo milele ila siyo katika form ya ubinadamu ila mungu ndiye aliye tugeuza tuwe wanadamu kwa kutumia kipengere cha >ENERGY CAN CHANGE FROM ONE FORM TO ANOTHER ...yaani mungu anaweza kuibadili energy kuwa muundo wa kitu...
UUMBAJI MAANA YAKE CHANGE OF FORM YA ENERGY ..KAZA AKILI UNAKALIBIA KUELEWA ...
KIPENGELE CHA UUMBAJI WA MUNGU KIPO KWENYE > ENERGY INABADILIKA KUTOKA MUUNDO MMOJA HADI MWINGINE >hii ndiyo uumbaji ..Mungu anabadili energy kuwa maji au kuwa moto au kuwa sauti au kuwa usumaku au kuwa mwanadamu...
Kuhusu kumuona Mungu ..nimekuambia kuwa energy ndiyo huyo huyo MUNGU SISI NI SEHEMU TU YA YEYE....SASA SWALI LAKO NI SAWA NA KUSEMA KUWA KISAYANSI NI UONGO KUSEMA KUNA ENERGY ..
ENERGY=GOD sisi ni sehemu ndogo ya ENERGY yaani MUNGU
Kuhusu e
Kuhusu Energy kuwa na ufahamu mbona tumesha thibitisha hata kisayansi kuwa sisi binadamu ni energy na tuna ufahamu ...je ufahamu wa binadamu siyo energy? Jibu lq kisayani ni ENERGY sasa wewe unasemahe mimi ndiyo nasemq kuwa ENERGYINAWEZA KUWA NA UFAHAMU? TUMIA AKILI...sidi binadamu ni...
Bakwata ni serikali...tatizo waislamu ni vipofu ndiyo maana mnalia kuwa kanisa katoliki linakula pesa za serikali ila nafumbia macho bakwata ambayo ipo serikalini kabisa ni sehemu ya serikali ! Wanalindwa na serikali na kulipwa pesa za serikali kwa namna mbali mbali ...hivyo kuifananisha TEC NA...
Mungu naye ni Energy....sasa utasema kama Mungu naye ni energy na sisi ni energy kwa nini sisi siyo Mungu ? Nini tofauti ya energy ya mungu na energy sisi? Jibu sisi ni sehemu ndigo tu ya eneryg ya Mungu ...Mungu ni Energy yote na ufahamu wa hiyo energy yote kwa ujumla ndiyo mungu ..sisi ni...
Mungu naye ni Energy....sasa utasema kama Mungu naye ni energy na sisi ni energy kwa nini sisi siyo Mungu ? Nini tofauti ya energy ya mungu na energy sisi? Jibu sisi ni sehemu ndogo tu ya eneryg ya Mungu ...Mungu ni Energy yote na ufahamu wa hiyo energy yote kwa ujumla ndiyo mungu ..sisi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.