Recent content by Lwiva

  1. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilijua tu ...mechi ya Tanzania odds 1.17 sikucheza kwenye mikeka yangu isipokuwa huu nimeipa away over 0.5 tayari imetiki bado mechi ya Brazil tu
  2. Lwiva

    Biashara yangu ya mgahawa imenibidi niifunge

    Jifunze kupika wacheni visingizio ...hata ukipika ugali na mmboga ya nguru tu vizuri peke yake utauza hadi utakimbia wateja ...mnapenda kupika vitu vingi bila ya ubora, unakuta ugali na mboga 5 zisinzo na ubora na Nyanya masaro, dagaa wananuka shombo kali na wamechemshwa zaidi ...vyakula vya...
  3. Lwiva

    Ni zipi faida za kuvuta sigara?

    👶👶kuvuta sigara ni utoto na ushamba na kutokujiamini.
  4. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi hawa sportbety kwa nini wamefunga pesa zangu kwa tsh ***** ila nikicheza inakubali ila nikitaka kutoa pesa siwezi ...
  5. Lwiva

    Nawezaje kujiunga Telegram?

    Ulisha pigwa ban 😁 kwa kuangalia na kudownload vitu tatanishi...
  6. Lwiva

    TECNO Spark 40 ni mfano wa simu zinazofanya watumiaji wa TECNO wadharaulike!

    KUNA SIMU NA CHIMU...HIZO NI CHIMU...UKISIKIA MTOTO👶👶 ANASEMA MAMA NINUNULIE CHIMU NDIYO HIZO SASA.
  7. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapa nimekaa naombea huu
  8. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwingine unakwenda kutiki japo odds ndogo bado dakika chache tu💥💥💥
  9. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sasa hivi mwingine💥
  10. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    💥💥💥💥👌👌 mapema sana
  11. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii mechi kuna dalili home ana win 🏆 japo ni bora kucheza mara mbili yaani kama utscheza na kuipa home win kabla ya mechi basi fuatilia ikiwa live pia ukiona dalili za home kushinda sawa ukiona dalili zs mambo kuwa tofauti basi cheza live tena kuokoa mtaji hapa nawaza nitie 3000 💥Home win and...
  12. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bet win bado kuna mingine miwili niliweka hiyo mechi
Back
Top Bottom