Recent content by Lwiva

  1. Lwiva

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Wewe unajua nini maana ya neno ufalme wa mungu ni ufalme wa roho....ufalme wote wa mungu ni roho na neno roho ndiyo spirit.....kisayansi ilo neno linaitwa energy ...vitu vyote ni energy ....nafsi na mwili ni energy ...binadamu ni mwili na nafsi ambavyo vyote hivyo ni energy na hii siyo kidini tu...
  2. Lwiva

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mungu ni nafsi ila ni roho ndiyo maana unasikia inasemwa roho mtakatifu au roho ya mungu hivyo neno roho ndiyo neno la kwanza pasipo roho hakuna mungu wala ufalme wa mungu maana vyote ni roho
  3. Lwiva

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Tumia akili neno roho ni neno kuu tena ni neno la kwanza kabisa la maneno yote pasipo roho hata mungu hayupo ..tumia akili acha kudanganywa na uongo wa makanisani na mitume feki vitu vyote ni roho mungu pia ni roho .. ufalme wote wa mungu ni roho maana yake vitu vyote alivyo umba mungu ni roho pia
  4. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
  5. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi mkeka unakuwaje lost kwa mechi kutokuchezwa [emoji849] Anaye jua hii vipi?
  6. Lwiva

    NASA wajanja sana

    Apongwezwe Samia kwa kuwa na wasomi kama huyu ...mama ana upiga mwingi
  7. Lwiva

    NASA wajanja sana

    Itskuwa ni lugha gongana ya yule paka mweusi mtandaoni au hii habari iwekewe yule paka
  8. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sportybet tren editini 0556DCF
  9. Lwiva

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hizi week mbili zilizo pita ni hatari sana kwa kubeti Asilimia 60% ya time zenye direct win ya odds 1.2 zimechana[emoji2958]
  10. Lwiva

    UZUSHI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

    Hoja yangu ni kwamba ugali siyo tatizo
  11. Lwiva

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Baba yako aliuza ng'ombe wake kuku somesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe...je sisi mabasha tuna ruhusiwa kupiga kelele zetu kwenye hii thread au la ?.
  12. Lwiva

    Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

    Tunataka marais wenye kupata urais kwa kutumia skili zao vichwani na siyo tobo zao mbili za chini ...hapa nsomba tuelewane
  13. Lwiva

    Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

    Mleta mada ni mwalimu sema ka take cover tu.. yeye pia ni muhusika kwenye icho kikao hivyo anashangaa kwa nini walimu wenzake kumshangaa yeye kuwa na gari zuri ....ila ni kawaida ya binadamu anapo taka kitu kizuri kuanzia kwenye kukitamani baada ya mmoja wapo au baadhi ya milango ya fahamu...
Back
Top Bottom