Ee baba......! tunakuomba uwape macho na uwezo wa kuona na kuipa kipaumbele cha maendeleo mikoa yetu ya KUSINI, kwa uwepo wa GESI na MAKAA YA MAWE vitubadilishe kweli kimtazamo, kielimu na uchumi.
wakati MANING NICE inapoteza mwelekeo, ilikuww inapishana na basi nikiyopanda MACHINGA ya saa 5 kutoka mtwara-dar.
HABARIKA;
kulikuwa na mvua kali ikinyesha, dereva wa MACHINGA akajaribu ku'zichomokea' LORI 2 za mabomba ya GESI ambazo zilikuwa zinatokea upande wa lindi mjini kwenda upande wa...
mji wa mtwara leo kuanzia alasili ulisimama ghafla na askari kutapakaa kila kona kwa jinsi wamande walivyoungana kuipokea NDANDA FC, timu iliyopanda daraja hadi PREMIER LEAGUE., duh.....! kwa umoja huu, MUNGU IBARIKI NDANDA FC.
asante kwa maoni.
ilinichanganya sana tht's y nikaanza kuji-asses mwenyewe
kama ninatatizo or mambo yyote yanayochangia hali hii.
its' smtyms makes m in trouble.
habari, mm nimeanza kufanya mapenzi, nikiwa na miaka takribani 23. kila mwnamke niliyewahi kumpitia amekuwa akiniganda na kupenda kuendelea kufanya mapenzi na mm hata baada ya kolewa.
nina tatizo gani? na nifanyeje.....?
habari, mm nimeanza kufanya mapenzi, nikiwa na miaka takribani 23. kila mwnamke niliyewahi kumpitia amekuwa akiniganda na kupenda kuendelea kufanya mapenzi na mm hata baada ya kolewa.
nina tatizo gani? na nifanyeje.....?
jamani wataalam wa lugha hebu ingieni hii link tusaidiane kutafsiri.
ww2.nationalpost.com/m/wp/blog.html?b=news.nationalpost.com/2014/02/28/egyptian-military-says-it-has-secretly-developed-the-cure-for-hiv-and-hepatitis-c-skepticism-ensues
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.