Recent content by LUWINGO

  1. L

    Picha: Usahili post ya Mkaguzi msaidizi wa Uhamiaji - Uwanja wa Taifa

    wakuu, naomba kufaham, ni mbinu gani UHAMIAJI wametumia ku - interview umati wote ule, na watatumia vigezo gani kuwapata 70 out of > 10,000?
  2. L

    Hii Mikoa Nani Kailoga?

    Ee baba......! tunakuomba uwape macho na uwezo wa kuona na kuipa kipaumbele cha maendeleo mikoa yetu ya KUSINI, kwa uwepo wa GESI na MAKAA YA MAWE vitubadilishe kweli kimtazamo, kielimu na uchumi.
  3. L

    Ajali ya basi la Maning Nice

    wakati MANING NICE inapoteza mwelekeo, ilikuww inapishana na basi nikiyopanda MACHINGA ya saa 5 kutoka mtwara-dar. HABARIKA; kulikuwa na mvua kali ikinyesha, dereva wa MACHINGA akajaribu ku'zichomokea' LORI 2 za mabomba ya GESI ambazo zilikuwa zinatokea upande wa lindi mjini kwenda upande wa...
  4. L

    Mapokezi ya ndanda fc mtwara, ya tishaaaa.

    mji wa mtwara leo kuanzia alasili ulisimama ghafla na askari kutapakaa kila kona kwa jinsi wamande walivyoungana kuipokea NDANDA FC, timu iliyopanda daraja hadi PREMIER LEAGUE., duh.....! kwa umoja huu, MUNGU IBARIKI NDANDA FC.
  5. L

    The Official Azam FC Thread

    safiiiiiii sana ma official club. GOD LEAD AZAM FC TO CHAMPIONSHIP
  6. L

    Umuhimu wa yai kama kifungua kinywa

    inafaa kula pekee au waweza changanya na vitafunwa vngne?
  7. L

    Ni utundu wangu wakati wa kufanya mapenzi...au?

    asante kwa maoni. ilinichanganya sana tht's y nikaanza kuji-asses mwenyewe kama ninatatizo or mambo yyote yanayochangia hali hii. its' smtyms makes m in trouble.
  8. L

    Ni utundu wangu wakati wa kufanya mapenzi...au?

    ninajaribu kwa nguvu zote kumwelekeza nami kuwa nae mbali bt inaonesha amejichanganya sana.
  9. L

    Ni utundu wangu wakati wa kufanya mapenzi...au?

    habari, mm nimeanza kufanya mapenzi, nikiwa na miaka takribani 23. kila mwnamke niliyewahi kumpitia amekuwa akiniganda na kupenda kuendelea kufanya mapenzi na mm hata baada ya kolewa. nina tatizo gani? na nifanyeje.....?
  10. L

    Ni utundu wakati wa kufanya mapenzi... au?

    habari, mm nimeanza kufanya mapenzi, nikiwa na miaka takribani 23. kila mwnamke niliyewahi kumpitia amekuwa akiniganda na kupenda kuendelea kufanya mapenzi na mm hata baada ya kolewa. nina tatizo gani? na nifanyeje.....?
  11. L

    Chopa ya chadema yapigwa marufuku kalenga.

    kama wana uwezo wazuie na mawakala wa CDM ili waibe vizuri.
  12. L

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

    mtangaza matokeo amekiri kuwa kawimbo ka- tunaimani n .....LOWASA....oya, oya, oya...... kweli........ kweli........kweli......... KAZURI KWELI KWELI.
  13. L

    Tushirikishane

    asante sana mkuu, bt umenimbia nitembelee manzese sehemu gani pale. lot of thnx
  14. L

    Egypt wamegundua dawa ya ukimwi..?

    mh......! mi simo, wasije kukusukia walioshiriki kwake na kutoka bila-bila
  15. L

    Egypt wamegundua dawa ya ukimwi..?

    jamani wataalam wa lugha hebu ingieni hii link tusaidiane kutafsiri. ww2.nationalpost.com/m/wp/blog.html?b=news.nationalpost.com/2014/02/28/egyptian-military-says-it-has-secretly-developed-the-cure-for-hiv-and-hepatitis-c-skepticism-ensues
Back
Top Bottom