Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

mtangaza matokeo amekiri kuwa kawimbo ka- tunaimani n .....LOWASA....oya, oya, oya...... kweli........ kweli........kweli.........
KAZURI KWELI KWELI.
 
Hashim Rungwe amekubali matokeo na amempongeza Sitta kwa ushindi alioupata
 
Sita anasema asiyependa mafanikio yake anaweza akatokea Dirishani kama akipenda (Nadhani anamsema ATM ya makanisa na misikiti)
 
Matokeo:
Sitta kura 487
Rungwe kura 69

Aise kumbe ule msemo wa ..... nikweli. Nzi alibusu kinyesi nakusema "kibaya kina mwenzi" Nimeshangaa sana Rungwe kupata kura nyingi namna hii. Sikutarajia
 
Anawashukuru wengi na hasa CCM kwa kumpendekeza. Anawananga pia wale waliokuwa wanavumisha kuwa kuna uhasama baina yake na Chenge
 
Kundi la lowasa ni dogo sana limeshindwa kufikisha kura 70?
Wamebaki wakimwimbia lowasa wao
 
Sitta anatoa historia yake na Chenge kua aliwahi kumpendekeza kwa Rais kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali
 
Back
Top Bottom