Recent content by lutumbu

  1. L

    ..nilimsahau but amejileta tena..

    Machame? mh! Pia hujatuambia yaliyomkuta huko alipokuwa.Take time kwanza.
  2. L

    Nimjuavyo Paulo Makonda: CHADEMA take care

    Chadema ni chama makini kila mtu anakiri hata hao wazee wa ccm,mmemsikia, Kingunge akitoa yake jana. Huyo aje na kama atakuwa mnafiki Chadema watamjua mapema sana na kujua cha kufanya. Makeke ya Shibuda yako wapi? chezea CDM wewe!
  3. L

    Siri Za Bunge Zaanza Kuvuja. Kashilila Aanza Kutapatapa

    Mpaka ifikapo October 2015,tutashuhudia mengi. CCM inajitahidi kujiokoa but ndio mwisho wake huo.Hata KANU Kenya was the same.Sikutegemea kijana kama Makamba anaweza kushauri upuuzi huo
  4. L

    Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

    Yeye yuko huru na simu zangu,any time message ikiingia ananisomea mimi.
  5. L

    Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

    Simu zangu ziko huru kabisa,tena yeye huwa anakuwa wa kwanza kufungua message zangu zikiingia na kusoma loudly.Kwa nini kwake itokee hivyo?
  6. L

    Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

    Niko katika mahusiano ya kimapenzi kwa muda sasa mpaka kumchumbia huyu niliye naye na kuishi naye.Juzi kuna message ya kimapenzi imeingia kwenye simu yake.Cha kushangaza amekuwa mkali baada ya mimi kuishika simu yake kwa kigezo kwamba hamjui huyo mtumaji ila atamfuatilia...
  7. L

    Imenichekesha japo inahuzunisha.

    Huyo mwizi alipiga upako kabla ya kuiba.Duuuuh:becky:
  8. L

    Lets laugh a lil bit

    ahahahahhhaaaa! very funny
  9. L

    Jamani niende au nisiende? msaada....

    Nenda kaanze kazi kama utataka kubadilisha ubadilishe acha kudeka wewe,laki tano ni ndogo?unayo?
Back
Top Bottom