Yaani andiko lote hujauelewa ujumbe uliomo na badala yake umeenda kushangaa typing error!!,
Eeeh, aisee hii Elimu yetu ya kukaririshana mambo ya grammar, structure, uandishi wa report pindi tunapojiandaa kumaliza vyuo ni ujinga mtupu,, wasomi wa siku hizi ni mabingwa wa uandishi wa report lakini...