Recent content by lustaki

  1. L

    Hii ndiyo sababu ya kutumbuliwa IGP Mangu?

    Mwigulu ahusiki katika kufeli kupambana na haoa wanaoua polisi??
  2. L

    A GIS and Remote sensing Analyst, looking for Internship

    Mbona zinapatikana tuu, acha kutisha watu bhana
  3. L

    Nahitaji mawe trip 50 Dar

    35000 kwa cubic metre moja
  4. L

    Nahitaji mawe trip 50 Dar

    UkubwA wa magari je??
  5. L

    Nahitaji mawe trip 50 Dar

    Samahani, unamaanisha, kununua, kupakia pamoja na usafiri??, gari la ujazo gani? Na kama ni pamoja na usafiri, yanaenda wapi?? Nataka tufanye kazi
  6. L

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Njia yakumwondoa kwenye mikono ya sheria kwakughushi vyeti, ndo wanataka wamtolee mlango wa nyuma
  7. L

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Hii ni njia yakumwondoa huyu bashite badala ya cheti.... ni movi
  8. L

    Ukweli ni upi kuhusu tukio la Scorpion wa Buguruni?

    Nimepata hamu kubwa yakujua kilichopo nyuma ya pazia... Naomba Kwa yeyote aliye Na historia fupi ya hili tukio atuelezee,,, nikimaanisha Tukio lilitokea lini? Wapi Na akitokea au akielekea wapi Na kama alikotoka aliongozana Na yeyote Nani alimpeleka kituo cha polisi kuchukua PF3 Na nikituo gani...
  9. L

    Watumishi housing comp ya nani?

    Nadhani ni taasisi ya selikali maana kuna mradi mwingine wa nyumba zaidi ya 50 nimeziona wamejenga kule bunju,,, mbele ya mradi wa TBA
  10. L

    Mahojiano Azam Two TV: Funguka na Naibu Spika Dr. Tulia Ackson

    Samahani wadau, hivi marudio ni lini Na SAA ngap
  11. L

    Mtumiaji wa mwisho siku zote ndio mlipa kodi

    Hapo nadhani nimechelewa, mi nilifikiri 18% ya Ile pesa ninayotoa ndo inakatwa...
  12. L

    Mtumiaji wa mwisho siku zote ndio mlipa kodi

    Jamani samahani, mim siyo mtaalam wa haya mambo yakifedha. Naomba mnieleze Kwa lugha rahisi kabsa,,, mfano kwenye account yangu Mimi Nina laki moja, nikitaka kutoa sh. 70000 nitakatwa sh. Ngapi? Na awali ilikuwaje?? Mfano benki ya CRDB,,, plz
  13. L

    Mtoto wa Magufuli (Jesca) sijui alifikaje Chuo Kikuu?

    Kwa hiyo alidahiliwa baada ya kukata rufaa au kabla, Na kama ni kabla, je matokeo haayo yalibadilishwa kabla yakudahiliwa??
  14. L

    Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

    Ivi nyonyo inatumikaje? Dadavua kiundani kiongoz maana wengine kwetu zipo sana bt hatujui jinc ya kuzitumia .. natanguliza shukrani
Back
Top Bottom