Msimhukum Manji kwa anavyotaka kufanya huo ni uamzi wake na ni hela zake.serikal yetu inatapanya mamilioni ya shilingi wameshindwa kuyaona hayo matatizo?
Pale comfort kidogo wanajitahidi ila wa chips pale nje nae majanga,zile chips mayai zilizopangwa za chini ndo huwa fresh zile za juu ni uporo.ukichagua za chini anapandisha bei au hakuuzii anakuwa mkali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.