Recent content by lusheria

  1. L

    JamiiForums Tanzania Tigo mlichonifanyia sijapenda

    Dah itabidi nifanye ivi mana siwezi badilisha hii namba Iko kazini muda.... Ule utaratibu wa namba hii hii Ila mtandao mwingine sijui uliishia wapi ... Nitawahama kwa super sonic speed ..!
  2. L

    JamiiForums Tanzania Tigo mlichonifanyia sijapenda

    Mkuu line ya tigo ipo kwa tochi ... Na nimepiga Simu uko customer service wakasema makato ni sababu ya simulizi na hadithi . Mimi sijawahi kujiunga Na hii mambo . Na nimeuliza hatua Za kujiunga ni hadi ujibu msg Yao ndo utapata iyo huduma. Mbaya zaidi hata Izo SIMULIZI Na hadithi sijawahi...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Tigo mlichonifanyia sijapenda

    Ndugu wanajamvi. Mbarikiwe wote. Tigo Tanzania sijapenda haya mambo yenu. Leo nimenunua Salio katika tigo pesa ili nijiunge na huduma ya vifurushi. Mara gafla nashangaa naambiwa fedha yangu haitoshi kifurushi Kucheki naona kweli Salio limekatwa. Ikabidi kupiga Simu huduma kwa wateja ndo...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Tabia nisiyoipenda

    Hahahahaahaha
  5. L

    JamiiForums Tanzania Nauli ya kutoka Tanzania kwenda China kwa ndege

    Thanks you for this .. [emoji9]
  6. L

    JamiiForums Tanzania Ni kiongozi gani mstaafu ambaye anatajwa nyuma ya vuguvugu la kuhama kwa wabunge kadhaa wa ccm?

    Hahahahaha Jamani nimecheka NA Ili neno makengezaaaa wewe kaka Bana hahahahhahahahah
  7. L

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

    [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
  8. L

    JamiiForums Tanzania Ni kweli huduma za afya kwa watoto chini ya miaka 5 ni bure?

    Hahahahaha hapo chacha
Back
Top Bottom