Ndugu wanajamvi.
Mbarikiwe wote.
Tigo Tanzania sijapenda haya mambo yenu.
Leo nimenunua Salio katika tigo pesa ili nijiunge na huduma ya vifurushi. Mara gafla nashangaa naambiwa fedha yangu haitoshi kifurushi
Kucheki naona kweli Salio limekatwa. Ikabidi kupiga Simu huduma kwa wateja ndo nikastajabishwa kuwa nilijiunga na huduma ya "HADITHI NA SIMULIZI " na huwa nakwatwa hela iyo Mara kwa Mara . Nimeshangaa Sana .hizi HADITHI na SIMULIZI Mimi wapi na wapi ? Kwanza sijui hata zinaungwa vipi.! Au masimulizi hufanyikia wapi ? Simu yangu natumia ya tigo ni tochi.
Sijapenda kwakweli.
Nimekumbuka zamani niliwahi sikia jamaa mmoja wa bank alikua anakata sh.200 kwenye Kila hela ya mwalimu . Na sababu ili kuwa ndogo ilikuwa haionekani. Ila jamaa alifanikiwa kuwa tajiri. Nimehisi labda ni ka mchezo kanataka fanyika hapa tigo.
Mbarikiwe wote.
Tigo Tanzania sijapenda haya mambo yenu.
Leo nimenunua Salio katika tigo pesa ili nijiunge na huduma ya vifurushi. Mara gafla nashangaa naambiwa fedha yangu haitoshi kifurushi
Kucheki naona kweli Salio limekatwa. Ikabidi kupiga Simu huduma kwa wateja ndo nikastajabishwa kuwa nilijiunga na huduma ya "HADITHI NA SIMULIZI " na huwa nakwatwa hela iyo Mara kwa Mara . Nimeshangaa Sana .hizi HADITHI na SIMULIZI Mimi wapi na wapi ? Kwanza sijui hata zinaungwa vipi.! Au masimulizi hufanyikia wapi ? Simu yangu natumia ya tigo ni tochi.
Sijapenda kwakweli.
Nimekumbuka zamani niliwahi sikia jamaa mmoja wa bank alikua anakata sh.200 kwenye Kila hela ya mwalimu . Na sababu ili kuwa ndogo ilikuwa haionekani. Ila jamaa alifanikiwa kuwa tajiri. Nimehisi labda ni ka mchezo kanataka fanyika hapa tigo.