Recent content by LUSEKELO ASUMILE

  1. LUSEKELO ASUMILE

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    Pole sana kama ni kweli sasa swali langu ni je kama akitokea mtu serious Huyo uliyenaye utafanyaje naye? Sent from my TECNO L6 using JamiiForums mobile app
  2. LUSEKELO ASUMILE

    Rafiki yangu aliponiaibisha kwa kumtekenya dereva wa bodaboda!

    Leave her and mind your business but take care when you are with her.
  3. LUSEKELO ASUMILE

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

    Tunataraji kuwa hautatuangusha Mr Pombe kama alivyofanya mtangulizi wako
  4. LUSEKELO ASUMILE

    Unajisikiaje unapo ogopwa?

    Kiukweli kuogopwa sio jambo jema kabisa lakini pia wapo watu fahari yao ni kuogopwa utawasikia unajua mimi nani, au uliza mimi ni nani hapa mtaani
  5. LUSEKELO ASUMILE

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kwa upande wangu naliona tatizo katika Internet hasa Muda wa mchana lakini kwa usiku wa manane utaipenda. Niko Njombe
  6. LUSEKELO ASUMILE

    TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

    Nashukuru sana ndg ikiwa unachosema ni kweli usijali wanao kupinga/kukutusi kwani watu hawa nilazima wawepo kwani hata leo watz wengi wanakufa,wanalemaa nk kutokana na dawa mbalimbali zinazoingia nchini zikipitia katika mikono ya watu tulio waamini na kuwapa dhamana leo tumekuwa nyani wa...
  7. LUSEKELO ASUMILE

    Ndoa ni vita...?

    Dah kaka hapo ugusa penyewe,hakika mambo yako hivyo na hii si kwa baadhi bali wote,only time will tell/It is the matter of time unless ur an angel.
  8. LUSEKELO ASUMILE

    Hali tete mazishi ya mchungaji aliyeuawa Buseresere

    Inauma sana kuona mambo haya yakitokea leo ktk nchi yangu na naogopa sana na nahisi damu inanikimbia kwani wao husema hawa ukiwapiga shavu la kuume wanakupa na la kushoto lkn ktk kitabu chao hakuna mahali ambapo wapigwa na wasijibu mashambulizi ndio maana hata leo ni Ngumu kuwatoa kwenye nchi...
  9. LUSEKELO ASUMILE

    Futari ya Kinyakyusa

    Gwibhibwe indundu nu ukasokela
  10. LUSEKELO ASUMILE

    Mh. Deo Filikunjombe salute...

    No brothers Deo is a man of his word and I news he will end up like this,coz unapoanza unakuwa unausoma mchezo na sasa kaka ameshauelewa vizuri na huu ndio msimamo wake.
  11. LUSEKELO ASUMILE

    The story behind PANADOL

    Mimi nakushukuru kwa kuniokoa na yanayoweza kusababishwa na utumiaji wa hizo painkiller kwakuwa ckuwa na ufahamu wowote juu ya hilo.
  12. LUSEKELO ASUMILE

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    Kimsingi ctofautiani na wachangiaji waliopita nakusihi jaribu kumsaidia na kamwe usionyeshe kunyanyapaa kiukweli kwa mtu niliepitia wakati mgumu kama huo ninajua jinsi gani anavyokosa amani moyoni mwake bt kama anakunywa pombe mwambie aache.
  13. LUSEKELO ASUMILE

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Good neews I like that once upon the time.
Back
Top Bottom