Kwenye kampeni alikuwa kama mwehu,anatukana hovyo, ukijaribu kumweka kwenye mstari alikuwa ana toa matusi balaa,out of that nahakika hajapata lolote zaidi ya kujenga uhasama na watu,hafai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.