Wapo watalaam waligundua mambo meng kabla ya kuzaliwa Yesu mf Archimedes, Pluto na wengine jiulize hiyo koran iliandikwa lini? Nahata waliothibitisha Dunia ni Duara waliish kabla ya kuandikwa koran, yapo mengi yaliyogunduliwa kabla ya icho kitabu ila inategemea unalenga wapi.
Rudi kwenye biblia ya vitabu 66 ambavyo ni msing wa hoja yenu iliyokuwa inamhusu ibrahim na mibaraka aliyopewa.
Tofauti zipo na hazitakosa ndio msing wa kuwepo madhehebu ktk Ukristo,Uislam nk.
Kama nia ni kutafuta utofauti basi ipo biblia ya kiingereza ipo ya kiswahili,kilatini n.k
Zipo biblia zenye raman ya israel ya kale zingine hazina. Zote hizo ni tofaut pamoja na hiyo ya vitabu hiki 66 na hik 78.
MUHIMU
Unataka kujifunza nini na kimeandikwa wapi.
Mungu alimchagua ibrahim atoke katikati ya ndg zake kisha akambariki yeye na uzao wake wote tena akasema nitakufanya kuwa taifa.
Swali.
Ndg zake Ibrahim ni viumbe wa Mungu kwanini Mung alimchagua ibrahim peke yke tena akambariki?
Mungu akambariki ibrahim pamoja na kizazi chake, kizazi cha...
Mungu alimchagua ibrahim atoke katikati ya ndg zake kisha akambariki yeye na uzao wake wote tena akasema nitakufanya kuwa taifa.
Swali.
Ndg zake Ibrahim ni viumbe wa Mungu kwanini Mung alimchagua ibrahim peke yke tena akambariki?
Mungu akambariki ibrahim pamoja na kizazi chake, kizazi cha...
Mungu wa Ibrahimu,Isaka,Yakobo na Musa ni Jehova ndio Mungu wa Wayahudi na Wakristo.
Uislam unaamini katika Jehova?
Hao mitume wote uliowataja walitumwa na Jehova, na wote ni waisrael.
Je Mohmad nae alitumwa na Jehova?
Katika majina 99 ya Allah je jina Jehova lipo?
Mungu wa kweli alimchagua...
Waisrael dini yao ya asili ni uyahudi, din ya yesu na kitabu chao ni torati, yesu kristo myahudi wafuasi wake wanaitwa wakristo na kitabu chao ni biblia yenye vitabu vya torati na injili. Vitabu vimejaa
Historia tangu uuambaji wa dunia na vizaz vyake maisha ya waisrael tangu ibrahim...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.