Recent content by Lunemo

  1. Lunemo

    Jeshi la Polisi lisishiriki kwenye mchezo mchafu wa kuwahadaa Watanzania, Mkurugenzi wa Yono akamatwe

    Kwenye clip Ayo TV walionekana wote wawili alikua mswahili akiambiwa na mzungu ataje kiasi si kweli hakuonekana ndugu.
  2. Lunemo

    Mkutano wa leo wa CHADEMA kwa waandishi wa habari waacha maswali mengi

    Let's pray for Lisu hizi hazisaidii kwa sasa.
  3. Lunemo

    Mwenye picha ya Manji akiwa amevaa Jezi ya Yanga naiomba

    Sasa hii ni Jezi?
  4. Lunemo

    Mshikaji wangu kaoa Tanga anajuta

    Kuhoa ,,,$@@
  5. Lunemo

    Jaribio la mauaji kwa Tundu Lissu: Maadui zetu wamebaini kupenyezewa "kirusi"?

    Hii vita ya kiuchumi itatusumbua.Mkuu unaona mbali sana.na siasa za bongo wananchi wakiona watu wanatofautiana kwenye majukwaa basi ni ugomvi mpaka mtaani hii ni mbaya zaidi na weupe watatumia udhaifu wetu kutufarakanisha ili waweze kututawala kiurahisi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Lunemo

    Wana Simba SC wenzangu tuvumiliane ila ukweli wa mechi yetu ya tarehe 23 August, ni huu

    Inabidi ww ndio ujitoe Muhanga.hahaha una lolote atakaa Chura FC. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Lunemo

    Picha ya siku

    Namna hiyo.no stress
  8. Lunemo

    Zitto Kabwe: Serikali inaficha jambo kuhusu ununuzi wa ndege mpya

    Naona ni kitu kizuri zitto kakiongea let shout as Tanzaniani.pls mkulu afuatilie hilo suala ili tusiibiwe tena.
  9. Lunemo

    Kukosewa kwa spelling za jina au majina kutofautiana kati ya cheti na cheti itahsebaka ni feki

    Spelingi ikikosewa siku nyingine wahi mapema kuepuka usumbufu kama huu.ni muhimu sana ingawa si Watanzania tunapuuzia sana hivi vitu.
  10. Lunemo

    Kukosewa kwa spelling za jina au majina kutofautiana kati ya cheti na cheti itahsebaka ni feki

    Nenda NECTA watakurekebishia suala lako na utarudi kutumikia Umma.
Back
Top Bottom