Hii vita ya kiuchumi itatusumbua.Mkuu unaona mbali sana.na siasa za bongo wananchi wakiona watu wanatofautiana kwenye majukwaa basi ni ugomvi mpaka mtaani hii ni mbaya zaidi na weupe watatumia udhaifu wetu kutufarakanisha ili waweze kututawala kiurahisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.