Kukosewa kwa spelling za jina au majina kutofautiana kati ya cheti na cheti itahsebaka ni feki

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,839
20,285
Ni vigezo gani wanavyozingatia?
Mfano jina la cheti cha kuzaliwa ni YUSUPHU MANJI halafu jjna la cheti cha form 4 ni YUSUFU MANJI na cheti cha form six ni YUSUPH MANJI jina lenye shida ya spelling hivyo lina shida wakuu
Maana wengi wana shida ya majina hususani kwenye spelling
Jee kwa mfano huo italeta tatizo kwenye uhakiki wa vyeti?
 
Unatakiwa kutoa taarifa kule walikokupa cheti labda kama neta watakupa barua uende kuapa utapewa afidavit utaipeleka kule kwa wailiotoa cheti na original unabaki nayo rafiki yangu ni mwl ilimkuta hiyo
 
Necta hawabadili walimwambia afanye hivyo na yupo vizuri na cheti chake jina lilikosewa spelling hata hutalitambua ndio lenyewe
 
Spelingi ikikosewa siku nyingine wahi mapema kuepuka usumbufu kama huu.ni muhimu sana ingawa si Watanzania tunapuuzia sana hivi vitu.
 
Back
Top Bottom