Huu ni uchoyo
No stress..
Jamaa anajiua kuanzia sigara pombe na moshi wa jiko.
kivipi mkuuHuu ni uchoyo
Nyama zote hizi pekeyake!kivipi mkuu
Ndicho kilikuwa kichwani mwangu hiki,nikitafakari ila nikajiridhisha kuwa kishalewa huyu haelewi kituHaishauriwi kuweka mkaa ndani ya nyumba maana mkaa unarelease carbon monoxide ambayo uki-inhale inaenda kuungana na.blood haemoglobin na kutengeneza compound inayoiyltwa carboxhaemoglobin inayozuia transportation of oxygen gas na unaweza kujikuta umekauka ghafla ukafa
hahaahah naona unazimezea mateNyama zote hizi pekeyake!
Na joto LA Tanzania c MTU atakuja, hii no ulaya tu kwenye baridi kaliKwa kweli nimeipenda...kuna haja ya ku design kitu kama hii.
Kwa nini Mkuu?Huu ni uchoyo
Nyamachoma yote hiyo pekeyake!Kwa nini Mkuu?