Pole sana kwa mkasa huu ulikupata ndugu.
Ila nina maoni ya kushare pia
1.Damu haiuzwi na sidhan kawa zama hizi kama bado kuna mhudumu wa Afya ambaye anaweza fanya huo uhuni. Ila Kabla hujaongezwa damu kuna vipimo vya kujua kundi lako la damu, na vipimo vya kuoanisha damu yako na ile iliyopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.