(Ruzuku ni pesa ya chama sio ya maendeleo ya wananchi,kazi yake ni kujenga chama,Jadili mabilioni ya ESCROW Kodi za wananchi,EPA kodi za wananchi,MEREMETA,wizi BOT,Kashfa za Rada,NK. ww unataka kujengea hoja RUZUKU haihusiki na ukosefu wa dawa hospitalini,Waulizeni Nani mfanya biashara ya NDOVU...