Ipo sheria ya nchi inayozuia watu kukusanyika bila ya kibali, yaani kilichokatazwa ni baada ya kupiga kura kukaa kikundi mahali kwa maana ya kukusanyika hili haliruhusiwi na hiyo sheria ipo ya kuzuia kukusanyika kama huwa mnakusanyika kundi kubwa la watu mahali pamoja na hakuna kinachotokea ni kwamba wameamua kutowafwatilia tu rejea zamani wazururaji hovyo walivyokuwa wanakamatwa au watu wasiokuwa na kazi maalumu!
Na hii ni Dunia nzima kila nchi ina hizi sheria za kuzuia mikusanyiko ya watu bila ya kibali maalumu kutoka kwa wahusika, hivyo siyo jambo geni!
Kipindi cha uchaguzi wa lema polisi waliwaachia watu kusimama ndani ya mita 100 karibu na ofisi za halmashauri na wananchi walitishia kumduhuru lema.ndio unachokitaka hiki?Haiwahusu waangalizi hao na wala haihusu silaha! Bila ulinzi wa kura uchaguzi uliopita Sio Lema wala Mnyika wala Wenje wala Sugu wala Mdee wala Msigwa na wengine ambao wangalikuwa wabunge. Kwa uwepo wa watu walio mita mia moja wizi ulishindikana na utangazaji ukaahirishwa hadi muda wa majeruhi! Ikawa haiwezekani kuchakachua na kutangaza! Mradi CCM walisema kuwa hata kwa goli la mkono watashinda, ni jukumu letu kufanya kila tuliwezalo kuzuia hilo pasipo kuvunja sheria. Tutakaa umbali ambao sheria inaruhusu. Hatukubali.
Wewe ndio unatakiwa kujifikiria na kufikiria hali ya mambo itakuaje!we ulieandika huu uzi una akili fupi sana hata kama chuo kikuu, kwa hayo mawazo yko bs bdo huna akili. hebu jifikirie tena afu urudi hapa.
Angalia usije ukakosa hata hiyo nafasi ya kupiga kura!!! Rais akishasema ni kama sheria. Unamwona yule kijana aliyetoa uzushi wake wa General sasa anapata taabu Segerea hata kura hatapiga!!
Nenda kakae kituo cha kipigia kura uione kazi,
Huyo Mbowe akishapiga kura ataingia mitini, hutomuona karibu ya kituo.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
Unaongea kitu nisichokijua samahani!Kipindi cha uchaguzi wa lema polisi waliwaachia watu kusimama ndani ya mita 100 karibu na ofisi za halmashauri na wananchi walitishia kumduhuru lema.ndio unachokitaka hiki?