Recent content by Lumanga chole

  1. Lumanga chole

    Mwalimu wa CISA Anapatikana

    Siyo kila kitu google mkuu,ww unaweza kunielewesha vyema zaidi kuliko google naamin hivyo.
  2. Lumanga chole

    Tanzania hakuna walimu wa Sayansi

    Usizungumzie kuhusu improvisation of locally available resourses maana hapo pia pana changamoto
  3. Lumanga chole

    Tanzania hakuna walimu wa Sayansi

    Ningependa utoe pendekezo sasa walim hawa wafanye nn hasa ili watekeleze kinachotakiwa kwny competency based syllabus?? Maana zaidi miundo mbinu ya shule zetu pia ni mibovu sana,darasa moja watoto 70,mwalim wa sayans mmoja anafundisha physics&chemistry shule nzima,vifaa vya maabara hakuna.Sasa...
  4. Lumanga chole

    Mwalimu wa CISA Anapatikana

    Cisa mbona mm sielewi ni darasa na masomo gani hayo?Yawezekana hata ni nzuri ikamhusu kijana wangu pia,naomba mnifafanulie
  5. Lumanga chole

    Tanzania hakuna walimu wa Sayansi

    Je mwalim wa sayansi anapaswa kufundisha nn/je ili aonekane amefanya kazi yake ktk sayansi? Mi naona mnazungumzia vitu tofauti na kazi ya mwalim ktk sayansi.Mambo ya uvumbuz na ugunduzi ni application of the scientific knowledge acquired by the learner/scintist from the teacher.Mwanafunzi...
  6. Lumanga chole

    Tanzania hakuna walimu wa Sayansi

    Huyu naye kwel hajitambui,miundo mbinu yenyewe tu ya kufundishia ni mibovu shule zngne hata jengo la maabara tu hakuna.Halafu anazungumzia ugunduzi,sasa mwalim anafundisha mtaala au ugunduz wa vitu vipya?
  7. Lumanga chole

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nenda ndugu ila sema sirikali nao ndo wanazingua kinoma yani.
  8. Lumanga chole

    Accountant/economics

    Soma EGM itakunufaisha kuliko hizo zingine
  9. Lumanga chole

    Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

    Duuuh! Noma sana.Hata mm nlilala bweni la SOKOINE room no.5 pale
  10. Lumanga chole

    Je ? Nitaweza kuapply mwaka kesho masomo au nitakataliwa?maana nimechaguliwa mwaka huu

    Jipange tu tena kasome mambo ya afya achana na ualim kwa hayo matokeo unapaya.Ualim wenyewe ni manyanyaso chingu nzima cku hz.Na kama umesoma advance ukapata hata principal 1 unaenda kusoma diploma ya afya moja kwa moja.
Back
Top Bottom