Recent content by Lukwafya bhagasi

  1. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yapinga mgawanyo wa nusu kwa nusu wa mali kwa Wanandoa waliopeana talaka

    Hiyo sheria wailete na huku Tanzania maana siku hizi wanalazimisha kuolewa kisa tu uko njema kimaisha na wakishaingia tu wanaanza visa na kudumisha michepuko ukimkoromea tu anaanza timbwili.
  2. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Halmashauri ya Itigi atishia kuwasweka rumande walimu waliohamishwa kisa madai ya stahiki zao

    Huyo ni mkurugenzi ni ......lile jina ambalo aliwaitaga wanafunzi wa udom.
  3. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Mwizi wa deki G/Mboto atumiwa nyuki

    Kama haupo nenda kamwibie yule mama wa chalinze ndo utajua kama upo au laa! I have a dream.
  4. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Ziara yangu ya siku 6 nchini Korea Kaskazini: Tanzania hakuna udikteta

    Ulienda lini huko korea@britanicca naomba kujua maana Mimi Niko hapa Korea kusini ili ikibidi na Mimi nikashihudie haya mambo I have a dream.
  5. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Rommy Jones kusuka twende kilioni ili afanane na Wema Sepetu

    Siyo wa Mara huyo ni wa koromije I have a dream.
  6. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Namfananisha Lupita Nyong'o na mwanadada Grace B Jones aliyetamba kwenye filamu za James Bond

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwani ina nini mkuu? I have a dream.
  7. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Kuna 'michepuko' huwezi kuiacha, 'never'

    Mimi nikidhamiria namuacha tu hata kama ndani yake kutakuwa na tv I have a dream.
  8. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Mwizi wa deki G/Mboto atumiwa nyuki

    Hii kitu ingefanyika pale mpakani mwa kigamboni na daresalama I have a dream.
  9. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Special Treads for USM ALGER VS Dar es Salaam Young Africa

    Kila lakheri timu yangu yanga I have a dream.
  10. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Wananchi wengi sana wanaojitokeza katika ziara za Rais Dr Magufuli na kumshangilia zinatoa picha gani kiutawala

    Umesahau kuwa mitaji ya ccm ni wale watu wa vujijini wenye hali ya chini kabisa ambao chakula chao asilimia kubwa ni ugali na mchicha pori.
  11. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Yanga leo watafungwa 4-0

    Sawa tumekusikia
  12. Lukwafya bhagasi

    JamiiForums Tanzania Uso Kwa Uso Na Dkt. Shika

    Mtoa mada unatakiwa kwenda kushare hizi habari kwa yule DC wa kahama aliempokea kwenye ule ugeni wa chuo cha sayansi maana waliahidiwa pia msaada wa mamilioni kadhaa ya pesa
Back
Top Bottom