Recent content by Lukwa

  1. L

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    ""kama kingekuwepo chama kingine imara ningekipa nchi nikainyang'anya ccm lakini sasa sioni chama cha kukipa nchi yangu herikubaki tu na ccm mpaka pale vyama vingine vitakapokuwa IMARA"" ni mtazamo tu! NAPITA....
  2. L

    Hotuba ya Rais Kikwete Mwisho wa Mwezi Julai: Amjibu Kagame!

    Anajiamini nini kagame!!!!!!!!!!??????????!!!!
  3. L

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    ahsante sana kwa ushaur mzur ntafanya hivo!
  4. L

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    ahsante sana kwa ushaur mzur
  5. L

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    sina mke kaka ila nna mchumba wala cogopi chochote.
  6. L

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    Thx to äll wanaJF kwa ushauri wenu umenijenga, kuanzia sasa utaanza kuwa mwangaza katka kumwepuka huyu anayetaka kunichafuria historia ya maisha yangu! Ahsanten sana'
  7. L

    Mke wa mtu anisumbua mimi nifanyaje?

    Jamani naombeni ushauri, kuna mke wa mtu ametokea kushindwa kuzizuia hisia zake na kujikuta akinipenda na kunitaka kimapenzi. Nimejitahid sana kumpangua lakini hataki kunielewa kabisa na mpaka anatishia kujiua au kumwambia mme wake kwamba namlazimisha mapenzi endapo sitamruhusu kutembea nae...
  8. L

    Msukuma na Mzungu jinsi walivyokutana hotelini ilikuwa ni kama ifuatavyo....!

    Siku moja bana nilikuwa hotel fulan! Wakaingia kwa pamoja Mzungu na Msukuma mmoja muuza ng'ombe! Ilipofika wakati wa kuagiza vyakula: MZUNGU; Waiter bring one cup of coffee. Sasa yule msukuma aliposikia hivó akafikiri mzungu kamwagiza Kofi Olomide mwanamziki. Basi nae MSUKUMA: Mhudumu niletee...
  9. L

    Katiba iruhusu Mgombea binafsi.......!

    Mabadiliko ya katiba yetu, nitafrahi sana endapo siku moja nitakutana kifungu kinachoniambia. "UHURU WA MGOMBEA BINAFSI" Nafikiri nchi itaendelea.
Back
Top Bottom