Ikiwa ni moja ya sheria kali zaidi duniani ambapo mtu yeyote anayesambaza ushoga anaweza kuhukumiwa kwa kifungo cha maisha au kifo ambapo amesema sheria imeishapita na haiwezi kufutwa.
Akiongea katika mkutano wake na wanachama wa chama cha NRM amesema chama hicho hakijawahi kutumia lugha...
Hiyo Bilioni 800 wacha iende Dar ikaboresha hivyo vitu wanavyosema , mana hata Dar ndio inaongoza kwa idadi ya mashoga na wasagaji sasa mikopo kama hii inamalengo yake vijana wa Dar endeleeni kupanuana matak.. na kusiginana mana bado tunakopesheka
Wakati Bungea la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likipitisha makadirio ya Tshs Trilioni 3.5 za wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ni vyema Prof.Mbarawa atambue kuwa aidha ATCL au TGFA hasara kwa taifa achague moja kusuka au kunyoa ili kupunguza au kuondoa hasara kwa taifa.
Kwa...
Hakuna haijuae kesho si yeye wala wewe , ila yeye ni mpitaji wa mipango sio kibwegebwege , juzi kafungia makanisa 78 yasio na usajili na wachungaji wasio na degree ya theolojia wote kawafuta na makanisa yao kayafungilia mbali.....
Safi sana bonge la plan , Tanzania tunafeli sababu ya Iman za watu wengine kwa Kagame anakuambia ukileta mambo ya Iman za kidini kwenye Mipango ya serikali , haraka katafute nchi yako
Hela ya kiberiti ,chumvi , pilipili yaani hawa hawajitambui kabisa , tambueni kuzaa mtoto sio kigezo au kinga kwako you will be in trouble allways kama hautabadilika.... change your mind from north to south and west to east
Nasemaje hii ndio kwanza imeanza mtakuwa masingo maza wengi kiasi kwamba mkienda kwa Mwamposifya kila unaegeuka nae ni singo maza mpaka mwamposifya nae atawachoka mana mpo wengi sana , badilikeni muwe na akili timamu muache akili za kushikiwa , tambueni kuwa huko tunakoelekea ni kugumu kuliko...
Si mlisema maisha ni 50 kwa 50 pambaneni sasa na bado huko tunakoelekea huo singo maza utakuwa mara mia zaidi nyie subirini alafu endeleeni kujichanganya , safari hii mpaka muokote makopo
JIRANI ZETU WATAENDELEA KUKIONA CHA MTEMA KUNI , HAPO BADO ISSUE YA DOLA KUPOTEA HAIJAINGIA..
Huku Wakenya wakiendelea kukumbwa na hali ngumu ya maisha kutokana na ongezeko la gharama ya juu ya maisha, hakuna matumaini ya afueni kupatikana hivi karibuni. Hatua hii inajiri baada ya serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.