Recent content by LUKOKA D

  1. L

    Uhamiaji koplo na kontebo.

    its true ni mapema sana,kuwen wapole
  2. L

    Kubadilisha wizara

    izi zote ni complication,dada yangu kaanza kazi mpya wiki ilyopta,alikuwa mwalimu wa shule ya msingi zen kabadilisha sasa ni afisa maendeleo ya jamii.alichofanya baada ya kumaliza chuo aliambiwa aandike barua ya maombi aombe kubadilisha aina kazi ipitishwe na mkuu wake wa shule,mkuu wake wa...
  3. L

    mshahara wa weo II

    usimdanganye mwenzio wew,kama kaz ya serkal co nzr ipi nzur?kwenye mashrika? hakuna kaz nzur km za serkaln zen km ya weo.
  4. L

    Naomba kufahamu ajira za makatibu tarafa

    je, afisa maendeleo wa jamii kiwango cha mishahara serikalini ni kuanzia sh. ngap?
  5. L

    Nafasi ya kazi Iringa mjini-haraka!

    community development officer hakuna nafasi hapo?
  6. L

    salaaam

    Ni ukweli uliodhahiri kuwa CHADEMA imefanya kazi kubwa sana kuipa CCM changamoto za kufanya maendeleo nchini,japokuwa kuna malalamiko ya hapa na pale kuhusu mfumo wa siasa za CHADEMA lakini ukweli utabaki kuwa hiki chama kinadhihirisha mfano wa kuitwa chama pinzani.
Back
Top Bottom