Recent content by lukio

  1. L

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Aisee mtoa mada sina swali.... nimekuelewa mpaka nimepitiliza
  2. L

    Mchumba ananipa wakati mgumu aisee msaada wakuu

    Kazi IPO...hivi shule bado hazijafunguliwa
  3. L

    Mimi nina masters nataka kuoa Darasa la saba

    Maisha ya ndoa hayana darasa wala kidato,elimu sio kuishi,hakuna uhusiano kati ya maisha ya ndoa na elimu dunia...kikubwa Anglia umempenda?hayo mengine baadae..
  4. L

    Nisaidieni jamani

    Mrushe kichurachura masaa6 mbegu zitatokea mdomoni(atazitapika)
  5. L

    Nisaidieni jamani

    Mtumwa gani wa Mungu unafanya mapenzi nje ya ndoa? Tena unavaa na condom kabisa haujui kua UNAUA...mwache asome utume wako kaufanyie kwa watumwa wenzako sio mwanafunzi...
  6. L

    Naomba kujua kosa langu Wana jamvi

    Kimbia vunjika miguu umekutana na msukule sio MTU... huyo ni wazi anamtu zaidi ya mmoja...... mwalimu wenyewe ndo yuko hivo hao watoto anaowafundisha si ndo watakua matahira..
  7. L

    Haya mapenzi gani sasa?

    Mmmhh....wanamalizaje kiu Zao?
  8. L

    Kati ya Mapenzi na maisha magumu kipi hupelekea zaidi mtu kujiua/kuuana.

    Maisha kwanza..bila maisha hayo mapenzi bado ni mzigo na mawazo...
  9. L

    Maumivu ya kuchapiwa yasikie kwa jiran.

    Kaka ulitengeneza mazingira yakusalitiw pia ulifanya haraka kukimbilia kuachana bila kutuliza moyo nahisi ulitawaliwa na maamuzu ya jazba ,umeacha wewe kuumia umeumia wewe..chakujifunza wkti mwingine ukipenda uwe committed kwenye mahusiano yako...yaliyopita yamepita jipange kwa maisha...
  10. L

    Siamini Niliyoyasikia Nilitarijia Kumaliza Nae Mwaka vizuri....

    Angalia moyo wako unasema nini sio masikio yako yanasikia nini....ukiishi kwa kusikia utakufa kwa presha hakuna asiye na historia...
Back
Top Bottom