Paskali kama P toka aitwe na kamati ya bunge kipindi cha mwenda zake amekuwa patupu kweli kweli kiasi cha mimi kuamini kuwa labda aliporwa accounti zaķe za mitandao.
Hata mimi naunga mkonyo hoja. Tusiwe waongo kama vp serikali izuie mahindi yasitoke nje, kwani hata watumishi wa Mungu walisha tutangazia khs onyo la Mungu la uwepo wa njaa. Kuna mtumishi wa Mungu kutoka Zambia aitwaye Rachael Abigael Mushala Chisuro alishasema kitambo. Niwausie wana jf wenzangu...
Ndugu yangu ukisikia malkia wa pwani ndio muonekano huo. Manabii feki yaani chui waliovaa ngozi ya kondoo ndiko wanakopata nguvu za miujiza kwa viumbe hao. We wachukulie poa lkn siku ukitaka kuwa nabii wa uongo kama TB Joshua au Mwamposa utakuja ukutane na viumbe kama hao. Na stori za kulala nao...
Ndugu yangu ukisikia malkia wa pwani ndio muonekano huo. Manabii feki yaani chui waliovaa ngozi ya kondoo ndiko wanakopata nguvu za miujiza kwa viumbe hao. We wachukulie poa lkn siku ukitaka kuwa nabii wa uongo kama TB Joshua au Mwamposa utakuja ukutane na viumbe kama hao. Na stori za kulala nao...
Hivo viumbe kweli kabisa vipo. Ila usivichukulie kama samaki wa kawaida, hao ni jamii ya majini na wanahusiana sana kimikataba na binadamu katka kuwawezesha kupata utàjiri, uongozi na hata upako na nguvu za miujiza kwa viongozi wa kiroho hasa hawa wanaoitwa manabii feki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.