Recent content by Lukeneja

  1. L

    JamiiForums Tanzania Nina miaka mitano sijala UGALI

    Nini lengo la huu uzi, mkuu?
  2. L

    JamiiForums Tanzania Dr Elly: Hakuna Kiongozi aliyepo madarakani kwa bahati mbaya, haijalishi amepataje Uongozi uwepo wake ni Mungu ameruhusu!

    Big Yes! How!? Iko hivi, Mungu anamipango na makusudi kwa kila mtu. Hata watawala Mungu aliwapanga hata kabla ya kushika madaraka nao wakiwa hawajui lolote. Mamlaka zote za dunia hazikuingia mamlakani bila Mungu kujua, alijua sana, aliziona sana na anaujua mwisho wa kila utawala. Na kila...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Dr Elly: Hakuna Kiongozi aliyepo madarakani kwa bahati mbaya, haijalishi amepataje Uongozi uwepo wake ni Mungu ameruhusu!

    Ila yeye Mungu anawajua kwakuwa ni wake, aliwaumba na kuwapanchi, ipo siku watamjua.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Dr Elly: Hakuna Kiongozi aliyepo madarakani kwa bahati mbaya, haijalishi amepataje Uongozi uwepo wake ni Mungu ameruhusu!

    Kufurahia au kutofurahia hakuondoi huo ukweli mkuu. Yapo makusudi kutoka kwa aliyemweka. Israel walipoonesha kutaka ukombozi watoke Misri walianza kupokea mateso makubwa zaidi, walipata uchungu mkubwa hadi wakawaghadhabikia Musa na Haruni waliotumwa kuwakomboa lakini Mungu ni wa utaratibu, siku...
  5. L

    JamiiForums Tanzania Dr Elly: Hakuna Kiongozi aliyepo madarakani kwa bahati mbaya, haijalishi amepataje Uongozi uwepo wake ni Mungu ameruhusu!

    Naweza kumtetea kidogo kwa kuanza na swali; Shetani ndiye baba wa uhalifu, mambo yake tunayaona. Je yupo katka hali gani, amebarikiwa au kalaaniwa au yote mawili!?
  6. L

    JamiiForums Tanzania Dr Elly: Hakuna Kiongozi aliyepo madarakani kwa bahati mbaya, haijalishi amepataje Uongozi uwepo wake ni Mungu ameruhusu!

    Yuko sahihi mkuu. Warumi 13 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ¹ Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. ² Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.
  7. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli, uwazi humuweka mtu huru

    Harafu 99% humu mko Dar!!!
  8. L

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Timu 5 za ligi kuu NBC PL kugomea mechi zilizobaki hadi TPLB watakapojibu madai yao kuhusu hujuma waamuzi

    Kwamba ni kwa sababu hakuna anayejali malalamiko yao!? Daah! Basi timu zote ziungane kugoma, asiyegoma maana yake ananufaika na uharo unaoendelea!!
  9. L

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Timu 5 za ligi kuu NBC PL kugomea mechi zilizobaki hadi TPLB watakapojibu madai yao kuhusu hujuma waamuzi

    Duuh!! Kazi ipo. Liwalo na liwe, ilimradi lipelekee ligi yetu kuwa bora zaidi.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Timu 5 za ligi kuu NBC PL kugomea mechi zilizobaki hadi TPLB watakapojibu madai yao kuhusu hujuma waamuzi

    Kwa nini timu zigome sasa? Kwa nini hazikugoma mapema?
  11. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ila kuna namna Wanaume mnapenda sana matatizo

    I guess, Leejay you're the one, aren't you? 😜🙊 (Just kidding) Anyway, kwakuwa uncle haambiliki, hakuna namna ya kumsaidia but nachowaomba yule dada msimtenge hata kama ataachwa solemba kuweni faraja yake.
  12. L

    JamiiForums Tanzania Mbinu na uchambuzi kuhusu RS Berkane

    Binafsi Simba nimewachunguza nikagundua wanafungika kwa urahisi sana hasa dakika za mwanzo na za lala salama. Simba sio hatari kivile. Hawatachomoka kwa RSB.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Mungu aliumba vimelea vya magonjwa kama EBOLA, UKIMWI, KANSA, MALARIA ambavyo vinaua mamilioni ya watoto wadogo wasio na makosa yoyote?

    Kweli kabisa. Kizazi cha laana hiki kinataka ishara. Wataziona ishara wakiwa wameshachelewa sana.
  14. L

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Mungu aliumba vimelea vya magonjwa kama EBOLA, UKIMWI, KANSA, MALARIA ambavyo vinaua mamilioni ya watoto wadogo wasio na makosa yoyote?

    Yaani! Kubishana nao kote huku kumewachora na kuwaanika wakoje, duuh!!
Back
Top Bottom