Leo saa mbili na nusu usikuGame ni lini wakuu
mkuu kuwa mzalendo tafadhalFull Time: Berkane 6-Simba 0
Simwamini Chamalon hata kidogo, Dogo yule aliyeshika namba yake Yuko Bora sanaJana niliwafatilia RS Berkane katika mechi yao ya Ligi Kuu ( Botola Pro ) vs Maghreb Fez , nilipata angalau 50% ya kufanya tactical analysis
✍🏻RS Berkane wapo well oiled machine
✍🏻Utimamu wa mwili & Energy ya kutosha ( hasa hasa katika electric counter attacks and possession ball )
✍🏻Ruthless ( wakatili sana golini )
✍🏻Wafanisi sana kiwanjani : RS Berkane wale FBs zao wanapelekea role to the next level
1: Pia kuna nyakati kocha wao alikuwa anatupa watazamaji kuifundi kuwa fullbacks kuwa midfielders plus muundo mzuri wa ulinzi ( Better rest defense )
2: Kitu nilichopenda zaidi ni kuwa wana wastani mzuri wa kufunga bao kwa kila mechi , yani kila mechi wanaweza kupata goli 2 hadi 3 lakini sio mechi zote lakini 89% wamepata magoli mengj katika mechi zao
3: Simba ni mzuri katika possession ball ( hasa hasa katika one touch football ) , wale RS Berkane wana making ya chini sana katika actions hiyo na hufanya sana faulo katika maeneo hatari karibu na boksi lao ( fursa mzuri kwa Simba : ball striking and set pieces )
Kuelekea mechi ya fainali ya Shirikisho Afrika , Simba SC inatakiwa kuwa makini zaidi kwasababu RS Berkane ni katili sana kwa opponent wake ( na haileti picha kuwa RS Berkane hawatokuwa makini dhidi ya Simba SC)
Football haina guarantee , yoyote anaweza kupata matokeo chanya uwanjani lakini ikiwa Simba atakuwa sloppy na hana energy ya kutosha ( Physical ) , kwake itakuwa kila la kheri na anaweza kuokota hata 2 , 3 , 4 easily .
Wewe cocastic hivi upo penzini? Nataka kujitosa hapo nikumiliki unasemaje mama la mamaWacha tusubiri tuone itakavyokua.
😂😂😂😂Berkane atapigwa pila ubaya mpaka mwenyewe atasema hatuchezi kwa mkapa.
Wewe cocastic hivi upo penzini? Nataka kujitosa hapo nikumiliki unasemaje mama la mamaWacha tusubiri tuone itakavyokua.
Nipe li namba pm uanze kutafuna hela zangu kama mpumbavuSio kivileee, wee jitose tuone inakuajee.
Au wee unasemajee?
Wee em sema kweli?Nipe li namba pm uanze kutafuna hela zangu kama mpumbavu
Changamka bhna tufunge hesabuWee em sema kweli?
Jezi zao tunazipataje?Jana niliwafatilia RS Berkane katika mechi yao ya Ligi Kuu ( Botola Pro ) vs Maghreb Fez , nilipata angalau 50% ya kufanya tactical analysis
✍🏻RS Berkane wapo well oiled machine
✍🏻Utimamu wa mwili & Energy ya kutosha ( hasa hasa katika electric counter attacks and possession ball )
✍🏻Ruthless ( wakatili sana golini )
✍🏻Wafanisi sana kiwanjani : RS Berkane wale FBs zao wanapelekea role to the next level
1: Pia kuna nyakati kocha wao alikuwa anatupa watazamaji kuifundi kuwa fullbacks kuwa midfielders plus muundo mzuri wa ulinzi ( Better rest defense )
2: Kitu nilichopenda zaidi ni kuwa wana wastani mzuri wa kufunga bao kwa kila mechi , yani kila mechi wanaweza kupata goli 2 hadi 3 lakini sio mechi zote lakini 89% wamepata magoli mengj katika mechi zao
3: Simba ni mzuri katika possession ball ( hasa hasa katika one touch football ) , wale RS Berkane wana making ya chini sana katika actions hiyo na hufanya sana faulo katika maeneo hatari karibu na boksi lao ( fursa mzuri kwa Simba : ball striking and set pieces )
Kuelekea mechi ya fainali ya Shirikisho Afrika , Simba SC inatakiwa kuwa makini zaidi kwasababu RS Berkane ni katili sana kwa opponent wake ( na haileti picha kuwa RS Berkane hawatokuwa makini dhidi ya Simba SC)
Football haina guarantee , yoyote anaweza kupata matokeo chanya uwanjani lakini ikiwa Simba atakuwa sloppy na hana energy ya kutosha ( Physical ) , kwake itakuwa kila la kheri na anaweza kuokota hata 2 , 3 , 4 easily .
Kwamba ndugu Mtotokautaka unataka kubeba jumla hiyo pisi au mi sijaelewa vizuri?Changamka bhna tufunge hesabu