Recent content by lukas charles

  1. lukas charles

    FT: Polisi Tanzania 0-1 Yanga SC | Ligi kuu Bara| Sheikh Amri Abeid

    Mwenye link ya group la yanga wasap ani2mie
  2. lukas charles

    Kwaheri rambo lakini VIP kuhusu su nywele bandia

    Naiomba selikali ifunge na nywele bandia kwani madhala afadhali hata rambo kwanza zinachafua mazingira na haziozi pia hufunga miguu ya kuku na ndege wengine kama kunguru nasamaki ziwani
  3. lukas charles

    Kwaheri Rambo lakini vipi kuhusu nywele bandia?

    Binafsi naiomba selikali ifunge nywele hizi kwani haziozi na zinaharibu mazingira has a kwa upnde wa ndege kama kunguru kuku njiwa na ndege wengine wanao tembea chini kwani hufungwa miguu hali inayo pelekea kukatika miguu hususan viumbe wa majini nao najuwa wanachangamoto zao ju ya hili.
  4. lukas charles

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Mimi nichinga wa wamitumba. malanyingi hununua mitumba kwa kusoti bidhaamojamoja yan kuchuz. na nimekuwa niki mix bidha sasa naona faida kama ni kidogo sana nawaza kununua balo zima ila najiuliza ninunue balo gani yenye kunipa faida na kuisha kwa wakati?? kwa walio naudhoefu na biashala hii...
  5. lukas charles

    Msaada wa mawazo: Ni robota gani la mtumba hulipa? Yaani hutoa faida kubwa?

    Belo hupatikana kwa bei gani mkuu Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
  6. lukas charles

    Msaada wa mawazo: Ni robota gani la mtumba hulipa? Yaani hutoa faida kubwa?

    Niko Mwanza mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. lukas charles

    Msaada wa mawazo: Ni robota gani la mtumba hulipa? Yaani hutoa faida kubwa?

    Asante kwa ushauli wako mr increase Sent using Jamii Forums mobile app
  8. lukas charles

    Msaada wa mawazo: Ni robota gani la mtumba hulipa? Yaani hutoa faida kubwa?

    Mimi ni chinga wa wamitumba. Mara nyingi hununua mitumba kwa kusoti bidhaa mojamoja yaani kuchuzi na nimekuwa niki mix bidha Sasa naona faida kama ni kidogo sana nawaza kununua balo zima ila najiuliza ninunue balo gani lenye kunipa faida na kuisha kwa wakati? Kwa walio na uzoefu na biashala...
  9. lukas charles

    Mpenzi wangu nimemkuta na maambukizi nifanyeje?

    Yaa mtoto bado ananyonyeshwa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. lukas charles

    Mpenzi wangu nimemkuta na maambukizi nifanyeje?

    Kumtelekeza na mtt naona huluma Sent using Jamii Forums mobile app
  11. lukas charles

    Mpenzi wangu nimemkuta na maambukizi nifanyeje?

    Afadhali Sent using Jamii Forums mobile app
  12. lukas charles

    Mpenzi wangu nimemkuta na maambukizi nifanyeje?

    Tatizo Mimi sna maambukizi niendelee ili tufeote nani atalea mtoto? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. lukas charles

    Mpenzi wangu nimemkuta na maambukizi nifanyeje?

    Fafanua mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom