Recent content by lujokamwa

  1. L

    DP World: Hizi Kelele, Kulalamika, Shutuma, na Lawama ni za Kweli au ni Ujinga Tu? Rais Samia Anastahili Kulaumiwa au Kupongezwa?

    Lengo la mama ni zuri lakufanya bandari yetu ifanye kazi kwa manufaa ya watanzania wote na sisi wanainchi wakawaida tunaomba wale wenye profetiona zao za sheria washirikishwe kwa kiwango kikubwa kuepusha sintofahamu iliyotanda.
  2. L

    Waziri wa ofisi ya Rais na Utawala Bora ongea na Maafisa Utumishi na Waziri wa Elimu, HESLB inatutesa watumishi wa Umma

    Hii bodi ibinafusishwe tuu kero kweli kweli wangejua mm sijasoma na mkopo mwaka wa kwanza na tabu nilizopata wasingezinhua hata kidogo
  3. L

    Waziri wa ofisi ya Rais na Utawala Bora ongea na Maafisa Utumishi na Waziri wa Elimu, HESLB inatutesa watumishi wa Umma

    Mm mpaka sasa nawadai 2k waliniambia nijaze online nikajaza hakuna feedback yeyote mpaka leo chakushangaza zaidi sim hawapokei ata ukituma whatsap hawajibu kitu
  4. L

    Kifo cha Benard Membe is a waking alert

    Watu waache nadharia zisizo na maana yeyote mungu akiamua kuvuna shambani mwake anafanya kwa wakati wake na mazingra yeyote na hakuna mwanadamu ambaye hataonja mauti R.I.P BM
  5. L

    Naombeni msaada Wanajamiiforums kwa matokeo haya napenda course za sayansi

    Civic~D, Hist~C, Geog~C , Kisw~B, Eng~D, Phy~D, Chem~C, BioC B/math~F
  6. L

    Wale wa Geography msaada wenu hapa tafadhali

    Kweli kabsa haupo serious ndg tafuta maswali magumu lete ila sio ujibiwe paper lote kusoma hakupo ivo
  7. L

    Nilitamani kuyajua haya - Ajira kwenye Mradi wa Bwawa la Umeme ( Part Two)

    Nisaidie email huenda na mm ikanisaidia kusolve tatizo la mdogo wangu
  8. L

    Ugumu wa kupata kibarua hapa Bwawa la Umeme la Nyerere

    Mwenye namba za mwarabu anayesimamia interview anisaidie mdogo wangu kahujumiwa
  9. L

    Mitihani ya mock nchini isimamiwe na Baraza la mitihani NECTA kuiongezea TIJA

    Elimu yetu bado inashida sana! mock ya mkoa mzima unapanga walimu 17 wamark script elfu 20 za civics kwa siku 8 is it possible?
Back
Top Bottom