Ndiyo matumaini yetu wana ccm ni ushindi nilishaapa siwezi ongozwa na mwizi yule ndiye katuchafulia chama then katusaliti nje ya ushindi wa ccm nikuhama nchi siwezi ni unafiki mkubwa katufanyia yule mtu kwakweli
Samahani kidogo ifahamike ya kuwa tanzania ni nchi isiyo na dini lakini watu wake wana dini tofauti tofauti niseme mm ni mkrisro ktk suala la utawala maamuzi magumu ni muhimu kwangu magufuri yupo sahihi zaidi tazama Yesu wa nazareti alipofika jerusalum alikuta watu wakifanya biashara ktk...
Pole sana wangu lakin kama ulivyojieleza kuwa wajiona ni mzuri sana tu ukweli ni kwamba kwakua umejijua kuwa ww ni mzuri sana basi hilo nalo ni tatizo tosha la kukufanya uachwe na utaachwa sana kwakuwa ww si yule mwanamke wa kuolewa bali ni wa starehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.