Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu
Habari zenu
Kampuni yetu inatoa mkopo wa magari ni gari aina moja tu nissan juke naomba nijue changamoto zake nianze kujipanga mapema kabla sijachukua hili gari nasika watu wanayasema sana haya manissan, nikipata na mtu ambae anamiliki hili gari anipe habari zake nitashukusu sana.
ilikua mwaka 2009 niko secondary kipindi hicho nilikua sipendi shule sana na nilikua nasoma day school asubuhi nilikua najuvuta sana kwenda shule ili mzee ajiandae aende kazini mimi nibaki nyumbani sasa siku hio mzee akachelea kwenda kazini mimi nikazuga kama najiandaa ili niende ile kaingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.