Recent content by luis diaz

  1. L

    Kukosa nguvu za kiume

    Sawa mkuu
  2. L

    Kukosa nguvu za kiume

    Nitafanya hvy na nitakurudia kaka
  3. L

    Kukosa nguvu za kiume

    Habari wakuu naomba msaada tafadhari nina kama mwezi mmoja sasa nakosa hamu ya tendo pia jogoo hawiki kabisaa naomba mtu mwenye kujua dawa ya uhakika anisaidie tafadhari hali yangu sio nzuri naona aibu kwa mtubwangu
  4. L

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Link ya game wadau
  5. L

    Nini maana ya Credit Note?

    Habari ndugu, Naomba kujua maana ya terminology hio CREDIT NOTE inatumika sana upande wa manunuzi procurement. Naomba mwenye kujua anijuze tafadhari
  6. L

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    vp jamani tunachezaje leo wengine hatuangalii
  7. L

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    arthul melo middle kiseti ivi huyo jamaa yupo anakula hela za bure hata mechi moja hajacheza 😄😄😄,,ila klop alitupiga hapo
  8. L

    Nissan juke 2011

    yaah ni ndogo ila kwa sasa nipo mimi na wife tu so kwa sasa naona itatosha
  9. L

    Nissan juke 2011

    shukrani mkuu
  10. L

    Nissan juke 2011

    ahsante kwa ushauri
  11. L

    Nissan juke 2011

    Habari zenu Kampuni yetu inatoa mkopo wa magari ni gari aina moja tu nissan juke naomba nijue changamoto zake nianze kujipanga mapema kabla sijachukua hili gari nasika watu wanayasema sana haya manissan, nikipata na mtu ambae anamiliki hili gari anipe habari zake nitashukusu sana.
  12. L

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    :rolleyes: :rolleyes:
  13. L

    Ni jambo gani la fedheha/aibu ulishawahi kukutwa ukifanya ama na mtu mnayeheshimia sana au mtu yoyote?

    ilikua mwaka 2009 niko secondary kipindi hicho nilikua sipendi shule sana na nilikua nasoma day school asubuhi nilikua najuvuta sana kwenda shule ili mzee ajiandae aende kazini mimi nibaki nyumbani sasa siku hio mzee akachelea kwenda kazini mimi nikazuga kama najiandaa ili niende ile kaingia...
Back
Top Bottom