Kwa kawaida mayai ya nyoka hayafai kuliwa kwa matumizi ya chakula kwa sababu:
🐍 Hupatikana kwa nadra sana – nyoka si wanyama wa kufugwa kwa kawaida, hivyo mayai yao si ya kibiashara.
⚠️ Usalama wa kiafya – mayai ya nyoka yanaweza kubeba vimelea au sumu, na hakuna utafiti wa kutosha...
Kafir ni nani mpendwa? Hujui kuwa unàmtukana Muumba kwa kuwaita viumbe wake MAKAFIR tunajua kuwa alimuumba mwanadamu kwa mfano wake.Binafsi nakuombea ubadirike Tanzania ni yetu sote.
*MUHIMU SANA KWA WANANCHI WOTE WA KATA KASHARU.
KUMEZUKA TABIA NAMIENENDO YA KUPIGA MIZIKI MCHANA KUTWA NA USIKU KUCHA KILA SIKU VIJIJINI MWETU. TUISOME HII TUIELEWE NA KUCHUKUA HATUA.
Nchini Tanzania kuna sheria inayozuia mtu au watu kusababisha kelele za usumbufu kwa wengine*.
Kisheria...
Huu ujumbe uifikie taasisi yenye dhamana ya kuhifadhi mazingira. Sio siri kwa Mtanzania wa kawaida anakerwa na baadhi ya RAIA hasa maeneo ya vijijini kufungulia hoofer za kichina sauti za juu hadi kero. Maendeleo yana gharama zake nyingine ni hasi.
Serikali imesambaza umeme vijijini ili watu...
Tatizo watu wa design hii sio rahisi kudumu kwenye uongozi. Kipindi fulani kuna Waziri fulani
aliamuru samaki wa kitoweo kilicholetwa canteen ya bunge wapimwe kwa ruler. Nadhani huyu Bwana angeendelea kushikilia Wizara husika sasa hivi Tanzania tungekuwa mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.