Recent content by Luhungu

  1. Luhungu

    Suala la mtaala ulioboreshwa lisifanyiwe mzaha

    Shule zimefunguliwa takribani siku Nne Hadi Sasa na kwa uhakika wanafunzi wa Kidato Cha kwanza Wana miminika mashuleni. Uhakika uliopo ni kuwa wote wanakuja kuanza mtaala ulioboresha (alimaarufu mtaala mpay) Pasipo kupinga mtaala ulioboreshwa umelenga kupunguza changamoto za mwanafunzi...
  2. Luhungu

    Magufuli bila madaraka yukoje?

    Kicha cha habari kizuri, tatzo umekuja na majawabu yako. So nadhani hapakuwa na sababu ya kuleta hapa jamvini.
  3. Luhungu

    Magazeti karibu yote ya leo yapuuza habari za ujio wa Lissu

    Kelele za nini? [emoji16] tukutane tarehe 28 Oct pekee. #JPMMITANOTENA
  4. Luhungu

    Ndg. Mhe. Mbunge Gibson nimekuamini

    Naweza nisiwe na maneno mengi sana, japo nawaombeni muangalie Star Tv kwenye kipindi cha AJENDA 2020. Yuko anajaribu kusemea utekelezaji wa kazi zake jimboni kwake Arumeru. Ukweli simfahamu sana, ila leo nimefurahi sana, kwa majibu mazuri na yasiyo ya kiitikadi. Ni majibu ya utetezi wa...
  5. Luhungu

    Je, ni kweli kuna Waziri anaugua Corona inafanywa Siri? Tunaficha nini? Hala hala kisa cha mficha maradhi! Truth & Transparency the only way out!

    Kinacho nishangaza, ni wingi wa details za mgonjwa, kutoka kwa huyo daktar/muuguzi/mtoa taarifa wako asiye na maadili ya kazi pia. Anyway, atapona kama yupo. Maana ugonjwa hauchagui vyeo. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Luhungu

    Rais Magufuli: Watu tusitishane, Mpaka sasa Corona haijaua mtu Tanzania

    Hajatamani mtu wake afe hata mmoja, alisema hali halisi na kutusihi tusitishike tukashindwa hata kufanya kazi. Ndiyo maana kasema 'tuchape kazk' huku tukichukua 'tahadhari zote'. Tuweni waungwana kwa taarifa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Luhungu

    Unganisha dots:Matamshi ya Bwana mkubwa vs alichofanya Mwana "FEI"

    Usilazimishe kila mtu, afikiri ufikiriavyo. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Luhungu

    Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

    Nilidhani, umemtafuta kambi zote ukamkosa, kumbe nawe umekurupuka tu baada ya kuona thread. Tafadhali, kuweni serious na gonjwa hili, achane usiasa siasa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Luhungu

    Utekelezaji wa kuwa na maji ya kunawia naona lipo kisiasa

    Habari wadau, Naandika kiasi kidogo tu, kusemea kile ninacho kiona dhidi ya utekelezaji wa agizo la kunawa ama kuwa na maji ya kunawa katika maeneo yenye misongamano mfano, stendi za magari nk. Nipo hapa Msamvu, Kituo kikuu cha magari ya mikoani. Ukweli nawapongeza wamiliki wa magari kwa...
  10. Luhungu

    Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

    Ushauri wangh ni kwa wachangiaji wa thread hii tu. . . . Niaminisheni si wakereketwa wa chama chochote. Maana yangu ni kuepusha kujibu majambo ukiwa na mlengo fulani. Baada ya angalizo hilo, jivisheni viatu vya kama ingalikuwa ni ndani ya chama lako, je? yangaliishia hivyohivyo? Asanteni...
  11. Luhungu

    Mzumbe: Huu uchakachuaji wa ufaulu (GPA) unaleta kukosekana kwa usawa

    Natafakari tu, He? Unatafuta wingi wa masomo ama ubora wa kinacho zalishwa ama vyote viwili? Inawezekana uko sahihi mahala, lakini nilitamani pia 'utuaminishe kwa kontenti za kozi husika (sambamba na vimeng'enywa) vilivyo ndani ya kila somo. Zaidi usiandike kwa mihemuko, lazima tujifunze...
  12. Luhungu

    Rais Magufuli awaapisha Mabalozi wateule Kipilimba, Bana, Mbennah na Milanzi

    Kazi inaendelea, wanaodhani nchi ya kijinga, nawasihi kubadili tu mtazamo
  13. Luhungu

    Professor Assad Asimulia alipokuwa

    Ukimya nao unafaida
Back
Top Bottom