Rais Magufuli: Watu tusitishane, Mpaka sasa Corona haijaua mtu Tanzania

Alikuwa mgonjwa wa kisukari kwa muda mrefu na alishakatwa miguu. Corona imesingiziwa. Mabele naye alikuwa mgonjwa wa kiharusi alikuwa amelazwa miaka 5 halafu bado Corona ikasimngiziwa ndio imemuua tena Mwanaye ndio karopoka tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku Africa wagonjwa wa aina hiyo ni wengi tu... Tuache utani huu ugonjwa ukihit hard nchi yoyote mtatafutana.
 
Anaongea maneno ya kudunisha ugonjwa akiwa mafichoni. Toka magogoni hadi ugogoni, mwana mpendwa apambane na hali yake
 
Wale wenye akili mbovu huombeana corona iingie ya kutosha na kuua kwao Ni furaha

Na corona inapewa kiki sababu walio umia Sana Ni nchi za ulaya,America,na Asia

Lakin turudi nyuma Ebola ilipo fumuka tukumbuke black African tulizuiwa kwenda nchi nying Sana ulaya ,Asia,na America

Mungu ana maaana saana kila pigo litapiga upande wake na ndio maana Mungu anatupa nafas

Kumbuken Mungu azihakiwi hata Mara Moja

Shetan ndio ana tawala dunia kwa Sasa

Enjoy yourself,be happy,don't panic corona is like other disease of flue

kilicho akilini kitumie
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Siungi mkono hoja

Umefanya utafit gani ukaja na hayo majumuisho yako apo...?

Mnadanganya watu at the same time mnaogoa na mnajilinda na familia zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu tusitishane, tunatishana mno. Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu” - Rais Magufuli.
Alichosema ni kweli, tunatishana mno ila uzuri watu washaanza kuona kumbe kawaida tu.
 
Tumsikilize kwa umakini
90769656_2549544105289151_6633476328791223692_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja, nanukuu:
"Ninaweza nikafikiria kwa mawazo yangu madogo kwamba katika kipindi ambacho shetani ameutawala ulimwengu ni kipindi hiki,” – Rais Magufuli."

Hayo si mawazo madogo, your excellency. Ni dhahiri kabisa hususani ukichukulia mfano wa Tanzania:

1: Mbunge anamiminiwa risasi kwa SILAHA ZA KIVITA katika domain ya Dola WITH IMPUNITY
2: Miili ya BINADAMU WENZETU inaokotwa ikielea kwenye VIROBA sehemu mbalimbali
3: MAUAJI ya binadamu wenzetu wanakatwa katwa PANGA sehemu mbalimbali nchini.
4: WATANZANIA WENZETU wanasiasa wanadhibitiwa KIKATILI na JEURI ya impunity katika shughuli zao za kihalali na zisizokua kihalali. Walichozoea askari wa KABURU kuwafanyizia WEUSI wenzetu miaka ile SAUZI ni cha MTOTO!
5: Vijimambo vya mauaji ya binti mzaliwa wa kule KILIMANJARO, AQUILINA AKWILINI
6: Mzee wetu Mangula analishwa SUMU katika mazingira yale
7: Vijitu vya kufikirika vinaukwaa ukuu wa mikoa na wilaya na kwa VITUKO vyao haipandi juu upstairs hivi vijitu vina madaraka makubwa kivile kwani hata ukatibu wa familia zao havifai!
8: etc

Nazani shetani katawala sana. True!
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Paskali, Je kama Covid-19 ina incubation period kubwa?
Corona Virus ilianza kimchezo mchezo,Dr Gupta wa CNN akielezea Corona virus by late November 2019.Wakihoji kama inaweza kuambukiza binadamu.
2 and half months later ilianza mashambulizi makubwa huko China ,Korea,Singapore,Iran na sasa Ulaya,Marekani.
Bado haileweki vizuri ni mapema kubweteka kwa kitu kinachopoteza maisha kwa wingi na kwa muda mfupi.
 
Watanzania hii corona msiikuze sanaaa..
Na tuache kupeana hofu.
Ni kweli inaua ila kwa hapa Tanzania na Africa kwa ujumla sio tishio sanaa.
kwa kuwa tuendelee kuwa na amani.
Tusijipe presha ambayo haipo..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
Rwanda Kuna Local transmission 9 na kufanya idadi ya wathirika kuwa 11.
Je Rwanda Ni mchi ya Baridi?

Kenya tayari Kuna Local Transmission 4 je na wao Ni nchi ya baridi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom