Kampe hizo hesabu za kuzidisha advance uone anajbu vipi calculator zilisha wavuluga. Kwahyo madogo waachwe na hizo table wakishazoea wanaacha automatically
Wakulima Walime, Watanzania tule kwani Kenya tu ndo wanamatumbo peke Yao?.. Viongozi wetu sio wajinga na sisi Watanzania tupunguze uoga, changamoto kidogo tu mshaanza kupost Mabandiko, Kama hawanunui wao tutauza kwingine watakapo hitaji, ikishindikana tuuziane humuhumu Maisha yaendelee mi hua...
Manula analaumiwa bure we beki zetu badala ya kuwaguard washambuliaji wa timu pinzani wasimsumbue golikipa wao ndio kwanza wanamwacha anapambana pekee yake
Wakuu habari ya jumapili Nina mdogo wangu kasoma kozi ya laboratory science and technology chuo cha ualimu Monduli ngazi ya diploma kahitimu mwaka Jana 2019 , sasa naomba kuuliza je anaweza kuomba ajira zilizotangazwa hapa juzi ukizingatia wao wanatambuliwa kama laboratory technicians na siyo...
[QUOTE="Mwl Evarist Mchele,Inaitwa laboratory science and technology, malengo ya serikali nadhani ni hao wahitimu wakatumike katika mashule kama lab technicians.
Wakuu habari ya muda huu,
Kuna hii Course ya Laboratory Science and Technology inayotolewa na vyuo vya ualimu kama Monduli teachers college, Kleruu pamoja na Tabora teachers college.
Je, wahitimu wa hii course wameshawai ajiriwa katika shule binafsi au serikali tangu kuhitimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.