Ni bora kuwa Bar ukiiwazia haki katika Mungu, kuliko kuwa Kanisani ukiiwazia dhuluma na ukandamizaji.
Kwangu Mimi ni bora mpagani anayepigania haki, kuliko Shemasi anaonea waumini!
JF mpooooooooo!
Karibuni katika *Siku ya Ngekewa*. Siku ya Ngekewa ni siku ambayo huwezi kuisahau katika maisha yako. Siku ambayo ilikuwa ya neema kwako. The day of beating the odds! Bila kutarajia ukajikuta unapata ufumbuzi wa jambo ambalo lilikuwa gumu kwako, unapata wepesi. Yaani jambo...
Discipline Master alituchukua mimi (HP) na Head Girl (HG) akasema ameskia tunataka kuchochea mgomo. Akatuweka ofisini kwake, Mara akaondoka akasema anaenda kwenye kipindi tutaongea akirudi.
Akatuamru tubaki mle mpka arudi. So yule HG alikuwa chakula yangu. Baada ya dk kama 20-25 hivi akasogeza...
Diamond asingekuwa na Pesa asingekukula mdogo wangu! Kabla ya kuwa diamond wa Sasa, usingethubutu hata kumtaja katika thread yako.
Alivokuwa hana pesa mlimuita domo, wala hivyo vitatu ulivyovitaja nje ya pesa, hukuwa umeviona kwake. Baada ya kupata pesa, mkageuza jina la domo lake na mkaita...
Nakutabiria huyu Mtarajiwa wako, siku moja atakwambia huku kakubania pua" nataka kuolewa Gwele, hivyo nimeamua kusitisha mahusiano na wewe". Hapo ndo Emmy atakuwa anakuja katika ndoto zako mara 20 kwa siku.
Lingine vipi kuhusu kubadilisha mita niweze kuwa najazia ndani niachane na kupanda, maana mita iko juu kama sipo mama anapata shida kuweka hadi aite mtu apande ndo aweke!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.