MaCCM hata kama yamesoma ila yanakuwa kama hawakusoma. Dini na sasa vinaenda pamoja, hata watoto wa kidato cha tank wanasoma kwenye GS. Serikali yenyewe inagwaya sembuse britanika wa Bukoba eti kisa unapewa elfu saba...
Mkiambiwa ukweli jitafakarini na so kuangalia matatizo ya msemaji. Hata...
Nawaza kwa sauti tu wajameni, hizi pesa ndizo zimetumika kununua wabunge na madiwani pamoja na makada maarufu wa upinzani... Rejea ushahidi ulopelekwa TAKUKURU... Lkn pia kumbukeni ndege ni heshima.
Anajipendekeza tu kwa raia wa daslamu... Alitwambia hoo cjui Kigamboni ingekuwa mji wa kisasa kama mji mmoja huko Malaysia kumbe ilikuwa janja yake kukwapua na kujilimbikizia ardhi...
Askofu amenikumbusha stori ya Eliya na mfalme Ahab wa Israel (1Wafalme 18). Acha wahangaike na wapakwa mafuta wa BWANA nae atawanyoosha. Yeremia aliwaambia watawala wa Israel kuhusu matokeo ya uovu wao na hawakutaka kusikia pia. Walikuwa watumwa.
Uongozi ni unyenyekevu na busara. Uongozi si ubabe na micfa. Uongozi huanzia nyumbani na ukitaka watu wakujue jinsi unavyoiongoza familia yako basi shika madaraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.