Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,326
- 1,041
Jamani kumekuwa na tatizo la fisi kupita kiasi kanda ya ziwa mbaya zaidi zinatafuna watu na hasa mifugo mpaka kufikia pasaka mbuzi na kondoo 6 za nyumbani zilishatafunwa Serikali ya mkoa Simiyu inajua nazungumzia hili eneo ninaloishi Malampaka-Maswa imebidi nipaze sauti humu.Tusaidiwe