Natafuta kiwanja na shamba maeneo ya kisarawe, aliyeko maeneo hayo anijuze bei na eneo lenyewe umbali gani toka bara bara kuu?
wanauza bei gani hayo mashamba uko kisarawe? kwa hekaMimi pia nimenunua mashambaa kisarawe kama bado unahitaji nicheki inbox na wakazi wengi k
ule wanauza maeneo naweza kukuunganishaa nao
Unataka kisarawe mjini au kisarawe vijijini?Natafuta kiwanja na shamba maeneo ya kisarawe, aliyeko maeneo hayo anijuze bei na eneo lenyewe umbali gani toka bara bara kuu?