Recent content by lugombonsesi

  1. lugombonsesi

    TETESI: Dangote kuinunua Yanga

    Hizo Ndoto ziliotwa Sana mwaka Jana, vipi zimeanza tena kuotwa na Vyura? Dangote aache kununua timu Uingereza au kwao Nigeria ambako soka Lipo juu na mashabiki wengi aje awanunue vyura? Kodisheni bhana
  2. lugombonsesi

    Mchungaji Mwaiposa na uuzwaji wa “Maji ya Baraka” ni wizi mtupu

    Acha uzushi, Lini amekulazimisha? Raja hiyo bei uisemayo hapa. Maji yanauzwa bei ya mitaani na Siyo lazima ununue kwake, wengi tu wanaenda nayo toka majumbani mwao. Angalia hiyo roho uliyo nayo, isije ikawa ya mpinga Kristo
  3. lugombonsesi

    Watu ambao wanakuzwa kuliko uhalisia TZ ni hawa!

    Vipi hukusikia Lowassa alivyosena aliitwa na kuombwa kurudi ccm? Kamuulize Mwenyekiti wako kwanini anamtongoza Lowassa ili arudi ccm?
  4. lugombonsesi

    Vituko vya watu mkoani mbeya

    Rudi Shuleni inaonyesha ulikimbia umande, unaweza jilinganisha na watu Wa Mbeya wewe? Kama hujui Watu Wa Mbeya Ndiyo Watu waliotapakaa Ulimwenguni, Dar Siyo Jiji la kuwafanya wawe washamba. Ebu niishie hapa, ila Acha ushamba Wa kisukuma
  5. lugombonsesi

    Majina ya marais wote wa Tanzania yana herufi M

    Naziona J tatu kwa Watu watatu Julius, Jakaya na John. Hizo Ndiyo nyingi sio M ambazo tena Siyo first name
  6. lugombonsesi

    Hivi Emmanuel Okwi kweli ni Mhenga?

    Ambaye hajazeeka na anamfunika Okwi ni Yupi? Anamagori mangapi Mkuu
  7. lugombonsesi

    Mtanzania anayekubali maneno ya Trump yeye ndiyo Shithole

    Ukichukia ujue wewe ndiye kakuita, ila Mimi najua alilenga viongozi hasa Siyo Mimi, na wale wanaochagua viongozi wasioleta maendeleo hao Ndiyo aliowaita.
  8. lugombonsesi

    Kumkashifu mtume Muhammad na kunyang'anywa leseni ya udaktari, sheria zimezingatiwa?

    Zanzibar inaongozwa kidini bila kuwa wazi, Ndiyo maana ukienda kule wakati mfungo utakoma na njaa, hata wasio waislam wanalazimishwa kufunga. So sishangai kabisa hilo
  9. lugombonsesi

    Hivi Emmanuel Okwi kweli ni Mhenga?

    Madai ya mashabiki wengi Wa Mpira walimwita Mhenga wakati anasajiliwa, hivi bado hawa Watu wanaweza kumwita mpaka sasa? Kacheza michezo mitano tu lakini ana magori kumi sawa na magori yote waliyofunga Yanga. Wadau kuna mchezaji Kweli Wa kumfikia Okwi hapa Tz?
  10. lugombonsesi

    Si kanifanyia fujo! Sasa naenda kumpa mumewe mambo

    Wewe Ni Kahaba Tu, Ndiyo Maana Ndoa Yako Imekushinda, Kwa makusudi kabisa unavuluga Ndoa Ya Watu Huku Unatembea Na Boss Wako, Wewe Siyo Binadamu Ila Ni Shetani Moja Kwa Moja. Acha Ukahaba, Malipo Ni Hapahapa Duniani
  11. lugombonsesi

    Kwanini Kurugenzi ya Habari (Ikulu) imekaa kimya kuhusu taarifa ya Lowassa hadi sasa?

    Mkuu mbona unaandika kishabiki Sana, kwani hukusikia walivyoongea wote kwamba yapo mambo mengi waliyoyajadili? Ulitaka kila kitu wakiseme palepale? Then ninyi ndiyo mmeumbuka kweli kawaumbua Lowassa na mnashindwa Hata sehemu ya kuficha nyuso zenu. Ndiyo maana mnaandika kwa hasira Sana. Kanusheni...
  12. lugombonsesi

    Kwanini Kurugenzi ya Habari (Ikulu) imekaa kimya kuhusu taarifa ya Lowassa hadi sasa?

    Wakanushe Ukweli, unajuaje Kama jamaa hakurekodi Kama ushahidi kile walichokuwa wanaongea? Wewe uliona Lowassa akimpongeza Magufuli Mbele ya Kamera za waandishi WA Habari, ila hukuona maongezi yao. Sasa unapotaka Wakanushe huamini alichokizungumza Lowassa? Ukweli kwako ni Ikulu kukanusha?
  13. lugombonsesi

    Watanzania wanaomtumia matatizo yetu Mange Kimambi kwa kujificha ndiyo njia ya kuyatatua kweli?

    Mkuu unataka wafanywe alichofanywa Lisu? Kuwa na Huruma na watoto wa wenzako Mkuu
  14. lugombonsesi

    Trump aishambulia Afrika, Haiti na El Salvador adai ni 'nchi chafu'

    Bora ya Trump aliyewatukana watu ambao sio raia wake wala kutoka bara la America, kuliko viongozi wetu wanaotutukana sisi raia wao. Mara vilaza, nyumbu sijui malofa[emoji16]! Asante Trump umetulipizia. Yani sasa hivi wote tumelingana tumekuwa shithole bila kujali we ni nani. Haijalishi we ni...
Back
Top Bottom