Hayo aliyoongea huyu dada niya kweli, maana mimi mwenyewe nipo hapa montepuez na leo ndio tulikuwa na mkutano na mwakirishi wa balozi mchana ujumbe aliouleta amesema tumepewa siku tano yaani mwisho juma tatu, kwa aliye na nyumba, biashara aina yoyote kwa ujumla mali zinazo bebeka na zisizo...
Kwa kuwapotosha watanzania saivi kidini unaweza ukafeli labda kwa watu wasio jielewa kaka mkubwa, kwa sababu miasha ya sasa hata ukiomba kuomba kazi kwa mkristo au muislam unapata bila kiegezo cha dini bali niviegezo vingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.