Nimejifunza kitu kikubwa "KUTOKATA TAMAA NA KILA KITU KINAWEZEKANA UKIJIKUBALI.
I LOVE IT!NA HII NDO SABABU BBC IDARA YA KISWAHILI NI NZURI...!UKILINGANISHA NA HABARI NYINGINE
ZA TV HAPA BONGO.
HALLO JF MEMBERS!!!!!!
HABARINI ZA MAPUMZIKO YA 8 AUG.
NATUMAI MPO SO SO FRESH!
JAMANI NIMEKWAMA KUUNGANISHA SIM YANGU Brackberry 8310
NA HUDUMA
YA INTERNET,....NISHAJARIBU KUWAONA TIGO WANISAIDIE
BUT WALICHEMKA!!!!!!!!!!!ILA NATUMAINI HAPA JF HAKIHARIBIKI KITU.
asanteni
JAMANI WAUNGWANA!
NAOMBENI MNISAIDIE KUPATA NYUMBA YA KUPANGISHWA NHC,MAENEO YA ILALA-BOMA,UBUNGO-SHEKILANGO N.K.
NITAUDHAMINI SANA USHIRIKIANO/MCHANGO WAKO KATIKA KUPATA UFUMBUZI WA HII SHIDA YANGU.
Asanteni.
sugua kwa colgate na mswaki ambao brash zake ngumu kiasi na sio laaini sana ukiikosa kabisa tumia whitedent ,fanya mara mbili kwa kutwa......asub na kabla ya kwenda kulala for at least 2min......na pia unaweza fanya kwa pale unapohisi mdomo mchafu/mzito....in case umekula dagaa or tembele.
ivi tutafika kwa mwenendo huu hawa viongozi waandamizi wa serikali??????????/hii jeuri wanaitoa wapi na maslahi gani na ya nani????????ili khali wananchi/wadau wenyewe wanajua kila hila na maovu yao????????May God bless Lema!
Wanaharakati na wanaotakia mema Taifa letu tushikamane kuondoa hii...
Hallo Mocrana,niko hapa Dar Es Salaam na mzigo
upo tayari store hapahapa Dar.If you are serious please wewe
ongea kiasi unachohitaji then tuwasiliane tufanye biashara.
Habari zenu Wakuu,
Mashudu ya alizeti yanapatikana kwa bei nafuu.
Naombeni muhitaji au kama utakuwa unafahamu
jamaa karibu yako wanahitaji unaweza kuwafahamisha!
nawasilisha.
KAULI ya JK it proves how weak intelligence department of our country is.
C'se just two weeks we had crime of madder ed pastor ,stil not yet found the gilt.
so what's intelligence department is for?
Hallo BAOSITA....Big up kwa kutuletea hii TIBA
Kutokana na uzoefu wako vipi inaweza kutibu hata vipele vya joto
yaani ni vidogovidogo ivi ila ni visumbufu balaa!
Thank you once again.
I
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.