"Mimi ni Salim Kikeke, alamsiki"
"Mimi ni Salim Kikeke, alamsiki"
Sam Mahela wa ITV anakoenda atakua na uwezo mkubwa pia!
Mimi pia nilidhani ni mkenya, kumbe mbongo kabisaa! Ana nyota ya kukubalika kwa sasa.
Hata mie nilijua ni mkenya aisee...ila huyu jamaa na yule wa sauti ya America "Vincent Makori" kama sijakosea nawakubali sana
Jamaa namkubali sana mi nilijua ni mkenya kumbe bongoman, halafu jamaa ni mzalendo yaani mtoto wake anasoma Tanzania kwenye elimu magumashi.
Pia Jerry, Jerry Muro alikuwa anakuja vizuri kama mwandishi mchokonozi wa mambo. Siku hizi sijui kapotelea wapi.
Hivi ni kipi kinachotufanya tufikiri jamaa ni Mkenya?? Je ni kwa sababu tunahisi Mtanzania hawezi kuwa na umahiri huo au? Kama ni hivyo, inabidi tubadili mtazamo na kujua kuwa hata mtz anaweza fanya mambo makubwa tu.
Fatma Almas Nyangasa,Abdallah Mwaipaya,Agnes Tuniga....wengine labda nisaidiwe
hapo pekundu huo sio uzalendo ni laana na ujinga,
ila napenda kazi yake yuke vizuri Mungu ambariki aache kutesa watoto kwenye shule za kidumu cha maji na ufagio ila kama hawasomi st kayumba sina ugomvi naye
amejisalimisha
hapo pekundu huo sio uzalendo ni laana na ujinga,
ila napenda kazi yake yuke vizuri Mungu ambariki aache kutesa watoto kwenye shule za kidumu cha maji na ufagio ila kama hawasomi st kayumba sina ugomvi naye
Gardener G Habash yuko poa sanaaaa.
Jamaa namkubali sana mi nilijua ni mkenya kumbe bongoman, halafu jamaa ni mzalendo yaani mtoto wake anasoma Tanzania kwenye elimu magumashi.