Recent content by Luggie the great

  1. L

    Dark days 17/03/20

    Dar ipo salama kwa Damu ya Yesu.
  2. L

    Dark days 17/03/20

    Mungu ni mwingi wa Rehema, Dar es Salaam ipo salama kwa Damu ya Yesu Kristo
  3. L

    Dark days 17/03/20

    Huo unabii hautakaa utimie.
  4. L

    Elon Musk anakuja Kuiteka Dunia

    Hiyo itakuwa ni breach of data privacy
  5. L

    Hivi DAWASA haina msimamizi?

    Kuna mgao wa Maji sugu unaendelea katika Jiji la Dar es Salaam. DAWASA walikuwa wamekata Maji kwa muda wa majuma matatu bila kutoa taarifa. Wananchi walipoanza kuhoji, sasa hivi wamakuja na mtindo wa kufungua Maji kwa muda mfupi halafu yanakatika. Kwa mtindo huu hata kupata Maji ya kuhifadhi...
  6. L

    Dark days 17/03/20

    Linapokuja suala la nguvu aliyopewa Rais wa JMT na katiba yetu, halafu Zanzibar ina Rais wake na inalinda maslahi yake, wakati Tanzania Bara haina Rais isipokuwa Raisi wa JMT ambaye anaweza kutokea Zanzibar na katiba inampa nguvu ya kufanya atakavyo na katiba haimuwajibishi. Inashangaza sana...
  7. L

    Kwanini uliacha kwenda kanisani?

    Mimi siwezi kuacha kwenda Kanisani. Mambo ya Imani yanaendana na ufahamu wa mambo ya kiroho, ambayo ni ngumu sana kuyaelezea kwa ufahamu wa kawaida. Pia mambo ya Imani na uhusiano na Mungu no mambo binafsi. Kujua uwepo wa Mungu kunatokana na uzoefu binafsi wa mtu anavyomfahamu na kuhusiana na...
  8. L

    Biashara ya Maji yashamiri jijini Dar es Salaam. Maji yanatoka siku tatu halafu yanakatika mwezi mzima

    Hiyo shida pia ipo mitaa ya Mbezi Makabe, maji hayatoki, magari ya maji yanapishana tuu kupiga hela. Na magari hayo yanauza maji ya DAWASA. It's weird, watu wanafanya wanavyotaka, hawana utu. Imagine watu wameunganishiwa maji lakini maji hayatoki na wanauziwa maji safi ya DAWASA kwenye magari...
  9. L

    FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

    Looks like kilichoandikwa kwenye kitabu cha ufunuo, ni mtu atakaye umbwa kwa makusudi ya muovu 15 Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Ufunuo wa Yohana 13:15
  10. L

    FUTURE INTELLIGENCE: Hakutakuwa na vifo tena, lakini...

    That will be new version ya human being, lakini hatakuwa mtu mwenye nafsi na Roho yenye sura ya Mungu, atakuwa mtu ambaye hana asili ya Mungu katika utu wake wa ndani, ambao ndio mtu halisi, utu wa ndani wenye sura ya Mungu una upendo, huruma , ukarimu, imani na ibada kwa Muumba.
  11. L

    Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

    Watu hawapo attentive to details. Ndo shida kubwa bongo
  12. L

    Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

    Taarifa zilizopo ni kwamba Precision Air ilipata Ajali jirani kabisa na Uwanja wa Ndege wa Bukoba, sababu ni kutokana na Hali ya hewa kuwa mbaya. Haikuangukia kwenye maji kabisa ila kwenye tope zaidi. Hakuna Majeruhi wala Vifo. Wote wameokolewa.' Taarifa zilizopo ni kwamba Precision Air ilipata...
  13. L

    Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia

    Ila yeye alisema Ndege itakuwa na Logo nyekundu na itakatika katikati. Utabiri wake hauendani na hii ajali ya bukoba
  14. L

    Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

    Thomas Kimboka aliwakilisha sana miaka ya 90
Back
Top Bottom