Yule Dr Ndalichako pale pale NECTA ndo panamfaa, na nadhani anaweaz kufanya impact kubwa kwenye elimu akiwa pale kuliko kuenda MoEVT kule politics nyingi sana, ndio maana wataalamu wengi ni bora uwe kwenye hizi "semi autonomous" institutions unakua na uwanja mpana zaidi.
Dahh sijui kwanini tu niliposoma nimejikuta nacheka badala ya kukuhurumia. Pole sana ndugu yangu hayo ndio maisha kuna kila aina ya vikwazo na haupaswi kukata tamaa kiasi hicho.RIZIKI yako ipo tu somewhere itakuja....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.