[emoji1787][emoji1787]Kuna Shule moja mpaka mwalimu aliona Kuna kelele hizohizo akawa anawatangazia wale ambao wanaitaji kusoma muda wa ziada anawafundisha muda huo na hao wengine walikua wanakatazwa na wazazi wao aliachana nao wabaki na wazazi Hakua hata na muda wa kuwafatilia
Jaribu kufatilia Kuna mazingira gani pale ya walimu ,Kuna uwiano gani Kati ya walimu na wanafunzi,pia angalia nature ya wanafunzi wanaopelekwa au wanaopangiwa kwenye hiyo shule
Shule zipi hizo za serikali zinafaulisha Sana tofauti na hizo za vipaji maalumu,nenda vijijini kaangalie matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne au hata shule za dar katafute matokeo yake uone yakoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.