Recent content by lugabussa

  1. lugabussa

    Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

    [emoji848][emoji848]umri daaah unaninyima nusra
  2. lugabussa

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Hello,je Ni kozi gani nzuri za postgraduate diploma anaweza kusoma mtu aliegraduate degree ya science with education
  3. lugabussa

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Hello,je Ni kozi gani nzuri za postgraduate diploma anaweza kusoma mtu aliegraduate degree ya science with education
  4. lugabussa

    Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

    [emoji1787][emoji1787]Kuna Shule moja mpaka mwalimu aliona Kuna kelele hizohizo akawa anawatangazia wale ambao wanaitaji kusoma muda wa ziada anawafundisha muda huo na hao wengine walikua wanakatazwa na wazazi wao aliachana nao wabaki na wazazi Hakua hata na muda wa kuwafatilia
  5. lugabussa

    Huu mwaka niajiriwe, nimechoka

    Unamipango lakini huna capital
  6. lugabussa

    Nimepata taarifa leo walimu wanapewa mikataba ya kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo mazuri

    [emoji38][emoji38][emoji38]mikataba yenyewe wanasaini kweli
  7. lugabussa

    Nimepata taarifa leo walimu wanapewa mikataba ya kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo mazuri

    Jaribu kufatilia Kuna mazingira gani pale ya walimu ,Kuna uwiano gani Kati ya walimu na wanafunzi,pia angalia nature ya wanafunzi wanaopelekwa au wanaopangiwa kwenye hiyo shule
  8. lugabussa

    Nimepata taarifa leo walimu wanapewa mikataba ya kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo mazuri

    Shule zipi hizo za serikali zinafaulisha Sana tofauti na hizo za vipaji maalumu,nenda vijijini kaangalie matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne au hata shule za dar katafute matokeo yake uone yakoje
  9. lugabussa

    Nimepata taarifa leo walimu wanapewa mikataba ya kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo mazuri

    Sio tu walimu wasayansi hata hao walimu wa lugha Ni changamoto ndo Mana ata lugha. English wanafeli sana
  10. lugabussa

    Nimepata taarifa leo walimu wanapewa mikataba ya kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo mazuri

    Haitasaidia kuongeza ufaulu Bali Ni kuwaonea walimu Mana wanafanya kazi kwenye mazingira magumu Sana.
  11. lugabussa

    Mitihani ya Mock(ACSEE).

    Mitahani Ni ya kawaida tu acha kupanik dogo
  12. lugabussa

    Ratiba ya Mapokezi ya Tundu Lissu kutolewa

    Aje tu Naona ndo nchi itakua na maendeleo
Back
Top Bottom