Kwenye tasnia ya madini kunafursa nyingi sio kuchimba tu kama watu wanavyokariri ukisikia fursa ya madini anawaza kuchimba, ni sawa na tasnia ya kilimo sio lazima uwe mkulima unaweza ukauza pembejeo unaweza ukakodisha mashamba unaweza ukalangua mazao unaweza ukawa muuza mtaalam wa umwagiliaji...
kaka karibu kwenye fursa za madini ya dhahabu kuna teknolojia nzuri ya uchenjuaj wa dhahabu na kwa bei nafuu mm pia ni mtaalamu wa hizo teknolojia tuwasiliane kama utakua tayari napatikana kanda ya ziwa hasa geita 0659997074 au 0766927074
Wizi ndio changamoto kubwa. Hapo ndio unakutana na kitu kinaitwa Business secrecy kwa wajasiriamali lazima azingatie usiri katika biashara. Ndio maana serekali imekataza kusafirisha CARBON mkoa mmoja hadi mkoa mwingine.
Ni vyema kujua changamoto za biashara yoyote kwa undani na namna ya kuzikabili. Moja wapo ni kama uliyosema. Ila kwa upande wa utapeli huwa inatokea kati ya patners, kuaminiana kupita kiasi. Vizur mkafanya kazi kimkataba na kuweka undugu au urafiki pembeni.
natafuta tenda ya kuchenjua marudio ya dhahabu. Nina elimu ya uchenjuaji wa madini ngazi ya diploma kutoka chuo cha madini dodoma.
Asante
0659997074
ludovickassey94@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.