Recent content by Ludau

  1. L

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    DAWASA Maeneo yote ya kipawa na msimbazi hamna maji, tunasikia bomba limeharibika. tupeni mrejesho hatua mliyofikia kwa matengenezo. Hatuna maji mwezi sasa
  2. L

    Mateso Yanayotokana Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB)

    Ila magufuli ajitathmini sana. Hata kama atarudi ikulu October hii, 2025 atatoka kwa aibu sana. Mema aliyofanya ni kidogo kuliko ubaya. Tuombe uzima.
  3. L

    Mateso Yanayotokana Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB)

    Magufuli katika ubora wake. Sio mikopo tu nenda kikokotoo, nenda nhif na mengine mengi. Bahati nzuri tunateseka wote ccm na wapinzani. Mrudisheni tenaaaa
  4. L

    GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    Wacha wampe adhabu ya kumsimamisha waone kama watu ndo watampenda magufuli. Wamenyima upinzani coverage ya media, kutumia chopper na hata posters kutoza kodi ili magufuli abaki peke yake, umeona wananchi wamempenda? Kwanza watu wakiona picha sake barabarani wanasonya tu na kutukana. Zinaudhi...
  5. L

    Rais Magufuli endapo utarudi madarakani badilika

    Yaan umenchekesha. Mimi naomba aendelee hivihivi ccm wake wavune walichopandaa. Kaongeze moto babaaaaas ukirudi
  6. L

    Tabia ya kuengua wagombea ilipandikizwa na CCM itawatafuna miaka ijayo

    Watajuuutaaa ccm. Wacha washabikie tabia za magufuli ambazo nyingi zinaharibu badala ya kujenga
  7. L

    Tabia ya kuengua wagombea ilipandikizwa na CCM itawatafuna miaka ijayo

    Wote tumeona kilichotoke kuanza kwa tabia ambayo haikuwepo miaka ya nyuma ya kuengua Wagombea. Tabia hii ilianza wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa na kurudiwa wakati huu wa uchaguzi mkuu. Bahati mbaya hakuna ukemeaji wowote uliofanywa na viongozi wastaafu, wa dini wala CSO kulaani tabia...
  8. L

    GE2020 Ununuzi wa ndege na ujenzi wa Chato Airport ni kashfa inayomtesa Magufuli?

    Ila uchaguzi huu, hata Lissu asiposhinda sindano zimemuingia Magufuli. Kwa kweli kawafungua macho watanzania hata waliokuwa wanamwamini sasa wanaweka alama ya kuuliza.
  9. L

    GE2020 Kwa jinsi ninavyomuona Mgombea CCM hataki kufanya kampeni ajue ni wakati wa kuomba Ajira

    Ni kweli hata mimi naona MAGU hana hamu kabisa na kampeni. Ingekuwa amri yake ange cancel uchaguzi wote. HATA HIZI FIGISUFIGISU ZA KUENGUA WAGOMBEA ILIKUWA NI MKAKATI WAPINZANIA WAJITOE CCM ITANGAZWE MSHINDI. MAGUFULI HANA HAMU NA KAMPENI HASA KUZUNGUKA NCHI NZIMA HATAKI.
  10. L

    GE2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

    HATA BONA KALUA/KAMORI SEGEREA HAFAIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
  11. L

    Utumbuaji wa watu kama akina Mtela Mwampamba utatutokea puani siku moja

    kwa kweli wote tunajiuliza alipewaje cheo kama hiki ambacho 1. lazima uwe umeajiliwa serikali kwa merit 2. umepanda vyeo kufuata cadre yako mpka kuwa senior. huyu alikuwa mwanasiasa hajui hata taratibu za utumishi wa umma ndo maaan unamwona yuko easy tu na bosi wake mwegelo kitu amabcho sio sawa...
  12. L

    Sema chochote kwa Baba yako, leo Father's Day

    Eee mwenyezi mungu MPE raha ya milele babaangu na Mwanga WA milele umuangazie apumzike kwa aman, amina. Akifariki tareh 6/3/2002
  13. L

    Usaili wa SUA uliofanyika Chuo cha Ualimu Sumbawanga Leo ni uhuni uliopitiliza

    Bwana SUA MTU asijisumbue kufanya interview ni wahuni San. Wengi tumeingia mkenge. Hupati kazi sua. Serikali iingilie kati kusimamia ajira za Sua.
Back
Top Bottom