Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Watu tunakumbuka sana kuwa Mtela Mwambapa na Juliana Shonza walikuwa ni WanaCHADEMA na walipohamia CCM wanajulikana kama wanasiasa na sio watendaji. Regime hii ya Magu iliwachukua wanasiasa wa aina ya Mtela Mwambapa na kuwafanya watendaji. Nafikiri mnamkumbuka Tumbili pia - Ajabu sana! na Mwenyezi Mungu anamwona sana tu JPM!
Sasa kubwa kuliko zote unaona Mtela Mwambapa anavyoingizwa kwenye utumishi wa umma kinyemela. Yaani hivi hivi na WaTanzania tunaangalia tu. JPM alitoa maelekezo kuwa Mtela Mwambapa apewe kazi ndogondogo kuliko ile ambay alikuwa akiifanya kama DAS.
Kazi ndogo ndogo kwake ama ni kuwa Afisa Tawala wa Wilaya au Afisa Tarafa. Kwa kuangalia kwa kina ina maana Mtela Mwambapa ameingia kwenye utumishi wa umma bila utaratibu unaopaswa kufuatwa. Yaani hamna usaili wala nini! Serikali ya JPM hiyo! Kazi kweli kweli.
Mtela Mwambapa anajulikana wazi wazi kuwa ni Mwanasiasa, sasa leo hii ndiyo unamkuta yupo Ofisi ya Umma - atawezaje kuwatumikia bila upendeleo wasio wanaCCM?
Ukweli haya mambo yaendelee tu kufanyika lakini mwisho wake unakaribia kufika! Akina Membe watayasema soon?
Sasa kubwa kuliko zote unaona Mtela Mwambapa anavyoingizwa kwenye utumishi wa umma kinyemela. Yaani hivi hivi na WaTanzania tunaangalia tu. JPM alitoa maelekezo kuwa Mtela Mwambapa apewe kazi ndogondogo kuliko ile ambay alikuwa akiifanya kama DAS.
Kazi ndogo ndogo kwake ama ni kuwa Afisa Tawala wa Wilaya au Afisa Tarafa. Kwa kuangalia kwa kina ina maana Mtela Mwambapa ameingia kwenye utumishi wa umma bila utaratibu unaopaswa kufuatwa. Yaani hamna usaili wala nini! Serikali ya JPM hiyo! Kazi kweli kweli.
Mtela Mwambapa anajulikana wazi wazi kuwa ni Mwanasiasa, sasa leo hii ndiyo unamkuta yupo Ofisi ya Umma - atawezaje kuwatumikia bila upendeleo wasio wanaCCM?
Ukweli haya mambo yaendelee tu kufanyika lakini mwisho wake unakaribia kufika! Akina Membe watayasema soon?